zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,039
- 28,688
Hakukosea ila nadhani alimuweka sababu jamaa alipenda sana kumsifia JPM so alihitaji kubalance story ila linapokuja suala la facts.... Huwezi expect Lumumba eti aongee ya kweli kuliko Lissu!!Kwa hiyo , alieanzisha mjadala hakufanya sahihi ? Kama aliweka mtu mmoja mwenye credibility na mwingine hana , maana yake nini? Hizo ndio dalili za tindo liso kushindwa vibaya kabisa na prof Lumumba , maana mnaanza kumcritisize Lumumba badala ya kuichambua mada. @no Lockdown in 🇬🇧
Ndio maana hapa Tanzania kuna mitaa,barabara, majengo, n.k yanaitwa Nkrumah ila ukifika Ghana ukamsifia Nkrumah unaweza pigwa mawe!! Ssa hyo ikupe fundisho kwamba wenyeji ndio wanajua zaidi kuliko mpita njia unayeona tu nchi inang'aa unaanza kusifia.