Pleez wataalamu nisaidieni

Andrew Jr

JF-Expert Member
Apr 23, 2012
329
112
Nashukuru kwa ushauri wenu. Nina tatizo la kuwashwa sehemu ya haja kubwa na ukikuna panakuwa na maumivu. Je tatizo ni nin? Plz
 
Nashukuru kwa ushauri wenu. Nina tatizo la kuwashwa sehemu ya haja kubwa na ukikuna panakuwa na maumivu. Je tatizo ni nin? Plz
inawezekana unaminyoo aina ya Trichura Trichuris, wanatabia ya kutaka mayai sehemu ya haja kubwa wakati umelala na kuwasha ili ujikune mayai yakae katika vidole na usiponawa na kuweka vidole mdome basi mayai yale huingia tumboni na kuzaliana tena.kuwaona kwa hadubini ni vigumu, mpaka uwekewe solatape hapo haja kubwa ili wanapotoka wanase na ndio upelekee maabara kwa uchunguzi. tumia mebendazole.
images
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom