Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
IT'S TIME FOR JOKES AND LAUGHTER
NAMBA MPYA: Hallo tunaongea na Iddy bakari?
MIMI: Ndio mimi Iddy bakari.
NAMBA MPYA :Unachezaga tatu mzuka?
MIMI:Sana kaka nacheza mpaka 60,000 kwa siku na nilijua ntakuja kushinda tu siku moja, nimeshinda shilingi ngapi kaka?
NAMBA NPYA: Ok,kumbe unaweza kucheza mpaka 60000 kwa siku lakini huwezi kutoa matunzo kwa mtoto wako...... Tunaomba uje kwa mkuu wa mkoa Dar es salaam kesho saa nne asubuhi.....
*Hapo ndio utajua kama Mtwara kuna Bahari lakini Wamakonde si watu wa Pwani***♂♂♂
NAMBA MPYA: Hallo tunaongea na Iddy bakari?
MIMI: Ndio mimi Iddy bakari.
NAMBA MPYA :Unachezaga tatu mzuka?
MIMI:Sana kaka nacheza mpaka 60,000 kwa siku na nilijua ntakuja kushinda tu siku moja, nimeshinda shilingi ngapi kaka?
NAMBA NPYA: Ok,kumbe unaweza kucheza mpaka 60000 kwa siku lakini huwezi kutoa matunzo kwa mtoto wako...... Tunaomba uje kwa mkuu wa mkoa Dar es salaam kesho saa nne asubuhi.....
*Hapo ndio utajua kama Mtwara kuna Bahari lakini Wamakonde si watu wa Pwani***♂♂♂