x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 914
- 597
Amani
iwe nanyi,tafadhali kwa yeyote anaye jua baada ya mwalimu kuandika
barua ya kuomba kuhama mkoa ni hatua zipi zinafuata hadi kufanikiwa
kupata uhamisho huo?na nisababu zipi zinafanya mwalimu anyimwe
uhamisho?je,ni muda gani muhafaka wa mwalimu kuomba uhamisho?ASANTE KWA
KUSOMA NI MATUMAINI YANGU UTATHAMINI SHIDA YANGU NITAPATA MAJIBU MAZURI.
iwe nanyi,tafadhali kwa yeyote anaye jua baada ya mwalimu kuandika
barua ya kuomba kuhama mkoa ni hatua zipi zinafuata hadi kufanikiwa
kupata uhamisho huo?na nisababu zipi zinafanya mwalimu anyimwe
uhamisho?je,ni muda gani muhafaka wa mwalimu kuomba uhamisho?ASANTE KWA
KUSOMA NI MATUMAINI YANGU UTATHAMINI SHIDA YANGU NITAPATA MAJIBU MAZURI.