Please move me to MAONI-RESIGN!

Filure to do so clearly is an indication of HAMJUI, Mmeshindwa, MJIUZULU kama Mafisadi wengine Tu!
Unless mnataka kuni kolimba hapa....JF Resolution No 001/2008 Undermined by the Moderators.

In a swift and unpredicting stance the Moderators of JamboForum have with malice, remove a highly sensitive Thread from it's Forum. In what this writer has affirmed as a clear flip flopping of the JF Resolution No 001/ 2008 of which the moderators failed to adhere to, my fundamental rights and the freedom of my expression ending in the dissolution of my thread. The factors-determining, determined and cosidering statements to the resolution were overlooked. This type of malice, with some kind of a writ of execution is contrary to : Beliefs of JF. Unacceptable.

BELEIVING that no one has a right to interfere with the natural and fundamental rights of the members of freedom of expression either before or after he/she has expressed him/herself,

DETERMINING that the life and welfare of JF is to the advantage of every justice loving Tanzanian,-Of which I am.

DETERMINED to make it live its life to the fullest without any interference either from within or without,- Of which I am Determined

CONSIDERING the enormous amount of time, energy and brain invested in the JF, Of which, considering again, I have to write this.

I Sura-ya-Kwanza ratifies the following JF Resolution No 001/2008 in the following manner without any omission but with a declaration.
HEREBY RESOLVES that, whoever attempts, threatens by words or deeds, does or utters anything that results in:
a) partial of full stoppage of the work of JF, even for a minute,
b) Partial or full deletion of any of the contents of JF,
c) Financial, physical or psychological harm to the moderators, administrators, members, benefactors, sponsors, beneficiaries of any of the above,

Declaration
And on the same context, hereby declare that the MODERATORS were contrary to the above and therefore call upon the following

SUCH PERSON, ORGANISATION, INSTITUTION, in whatever form and name,SHALL be dealt with an a manner which is neither terrorist, nor diplomatic; but which, by all intent and purposes, will make him/her/it pay equally, to each and everybody's amount of pain, harm, mental torture and loss, regard being given to the time, energy, dignity, rights, finance, and any other thing that will be considered by the stakeholders to be worthy of being indemnified, compensated and repaid in full; regardless of where, who and what the victim might be; and the time it will take for this polite promise to be fulfilled.

JF Members, Wananchi,Wanahudhuria wa Danganyika Ville, JF Ville-Forest Reserve,Rehabilitation,Mambo yasiyokuwa ya ndani, International and Strategic Studies Institute, Statistical Mumble Jumble Institute,FEBEYINI, Ofisi ya wasionekana na kuonekana, Ofisi ya Mkuu wa uwanja wa kivita, ForumWood(follywood) , Visiwani, Mitaani, wasanii, Majasusi ladies and gentlemen.

Upon the powers vested in me as JF Member and In conjuction with 'United Congregation of Right Thinking Members of JF UNCRTM-JF I' call upon all peace and justice loving members, sponsors, benefactors, well-wishers;
To trace and expose all those who, for whatever reason on earth, attempts, or tries to attempt, to interfere with, or have actually interfered with, the smooth running of JF by whatever means and ways; and all those who falsely thinks that they can play around with the welfare of Tanzania by tampering with JF.



The thread was deleted with malice…ask your MODERATORS.
I SUBMIT

Signed this day 5 Feb 2008

Hii inawezekana UDAKU fanya kazi
 
Sura-ya-Kwanza,

Hivi umekuwaje siku mbili tatu zilizopita?! Hao mods unawalipa wewe, mbona unataka kujifanya wewe ndiyo wewe na kila kitu unacho command kinatekelezeka katika muda upendao wewe?

Ulikuwa makini kipindi fulani hivi ukawa unatuletea na habari za 'kula breki' na nilizifurahia sana, mara ghafla, unaanza ku-flood JF kwa malalamiko mengi ambayo hata kama yana msingi, lakini kutokana na jinsi unavyo yatoa yanakuwa hayana maana tena bali bugudha. Please please, waheshimu Watanzania wenzako waliojitolea/chaguliwa kusimamia na kuhakikisha JF inabakia huru na yenye mawazo endelevu, na si uwanja wa fujo zisizo kichwa wala mkia. Calm down man!!


SteveD.
 
nilisha kwambia zamani sana, hufai kuwa siriasi!! bakia vilevile, lakini wewe husikia....unaingia kusiko mjomba, mambo ya Joni Komba au Joel Bendera kuukwaa ubunge!!! ebo, wewe ni entateina na hata siku moja huwezi kuwa Mwanakijiji.........kama mods wamekuboa, basi wanunie, kama una hasira sana wa PM au quit kama Mchambuzi!! kelele zako hizi zitakuondolea mashabiki kule "kura bureki," kwani unaanza kuonekana kumbe wewe ni hitilafu kama sio mushkeli. LOL
 
Sura-ya-Kwanza,

Hivi umekuwaje siku mbili tatu zilizopita?! Hao mods unawalipa wewe, mbona unataka kujifanya wewe ndiyo wewe na kila kitu unacho command kinatekelezeka katika muda upendao wewe?

Ulikuwa makini kipindi fulani hivi ukawa unatuletea na habari za 'kula breki' na nilizifurahia sana, mara ghafla, unaanza ku-flood JF kwa malalamiko mengi ambayo hata kama yana msingi, lakini kutokana na jinsi unavyo yatoa yanakuwa hayana maana tena bali bugudha. Please please, waheshimu Watanzania wenzako waliojitolea/chaguliwa kusimamia na kuhakikisha JF inabakia huru na yenye mawazo endelevu, na si uwanja wa fujo zisizo kichwa wala mkia. Calm down man!!


SteveD.


Steve D.:Nimekuwaje siku mbili tatu zilizopita? Kwa kweli hao mods siwalipi sidhani kama wanalipwa sina habari nao. Tunaelimishana.

"mbona unataka kujifanya wewe ndiyo wewe na kila kitu unacho command kinatekelezeka katika muda upendao wewe?"

Hayo hapo juu ni makubwa nimejifanya mie ndio mimi ndio hayo hayo MODERATORS wanajifanya wao ndio wao? Wamefuta Thread hapa sasa mie huko nakojifanya wapi kama sio hapa hapa? Kila kitu kipi nacho command Steve D -sasa utanizushia mengine.
And thanks...for the props.


"unaanza ku-flood JF kwa malalamiko mengi ambayo hata kama yana msingi, lakini kutokana na jinsi unavyo yatoa yanakuwa hayana maana tena bali bugudha. Please please, waheshimu Watanzania wenzako waliojitolea/chaguliwa kusimamia na kuhakikisha JF inabakia huru na yenye mawazo endelevu, na si uwanja wa fujo zisizo kichwa wala mkia. Calm down man!!!"

Hiyo hapo juu makini sana ninarudi!
 
Sura-ya-Kwanza,

Sawa kama huoni kuwa yote uliyo post katika kipindi cha siku mbili hivi kuhusiana na mods haya-amount to - 'bugudha'. Ni maoni yangu tu na natumaini nimeeleweka.
Baadae ndugu.

SteveD.
 
Sura-ya-Kwanza,

Sawa kama huoni kuwa yote uliyo post katika kipindi cha siku mbili hivi kuhusiana na mods haya-amount to - 'bugudha'. Ni maoni yangu tu na natumaini nimeeleweka.
Baadae ndugu.

SteveD.

SteveD.

Umeeleweka na mimi naomba nieleweke. Kitaeleweka.
Hayo malamiko ndio sijayaona. nimejaribu kusoma post zangu nyingi sioni zinatofauti gani na za wengi humu. hii Bugudha ndiyo Kumkoma Nyani Giladi
Sina makuu Bandugu.
 
Rejea kichwa Please move me to maoni-RESIGN

Je Unakubalika? jee haya ni maoni Udaku, pumba ,jungu ,matusi ya nguoni, au ni kupaka matope kwamba wao ni mafisadi wa FIKRA tena unajua mengi tunajifunza hapa! sasa Kuweka kichwa cha habari huku na nitaandika tena MODERATORS- na kuelezea bayana kuwa 'mie ningewafukuza kazi !’Kwa nini Unafuta Thread.
Sijakosea hata siku moja kuweka thread sehemu inayotakiwa Please review all threads I started.

Baada ya hiyo Thread kuwa deleted I was disappointed hii ilinibugudhi. Kama utashi nikatumia resolution hiyo ya kirezolusheni.Nikaanzisha thread huko-Nimeweka kule kwenye HOJA NZITO- badala yake wakahamisha kwenda kwenye maoni naelewa kwenye maoni lazima uwe member au umelogin kuona kwa hivyo MTANZANIA huyo huyo ambae wote tuna taka tumfikie haitaipata hii. Haukuwa UDAKU kwa hivyo sikuwa na haja ya kuweka kwenye kula breki ni HOJA NZITO.Tunaelimishana,Itaonyesha jinsi ufisadi wa kifikra ulivyotokea. Inanibugudhi.

Hii ilinifanya nichangie kwenye Thread ya ‘Inatosha:Lowassa Jiuzulu: Likiwa bado hili swala la hapo juu likinibugudhi, nikapata kipenyo nikaomba ma MODS wajiuzulu Kwa mantiki walishindwa kufanya kazi with reasoning- This post was deleted! Kwa nini? Hii inanibugudhi.

...Karamagi Jiuzulu unangoja nini-Nimetumia mantiki ya forum nikapenya tena Mods nao wajiuuzulu-Bugudha? NO!

Waminufutia thread, wamehamisha thread, wamefuta post …. Kwa mantiki hipi Sura-ya-Kwanza ni mtu wa udaku?

Chain of events-Ikaibuka thread mbaya zaidi na ilikuwa kwa mda mrefu zaidi ya kwangu nikafanya maneuver nika moderate –Sijali kama imefutwa ilikuwa ya uchochezi wa hali ya juu.Nikachochea mapambano yangu

Kwanini nisiweze kusema hapa kuwa ‘Mie ningewafukuza kazi’hao MODERATORS Je walinipa nafasi au kuipa nafasi kadamnasi iwachambue-

Je kuna ukweli kwamba wanashindwa hapa? Ndio- MODERATORS ni waheshimiwa! hata Raisi wangu Kikwete ni Mheshimiwa wangu! nikiweza kumnyooshea kidole changu hapa nina uwezo wa kuonyesha kidole changu kwa MODERATORS.
Hii inaoenyesha wazi kuwa hata Raisi wetu anauwezo huo pia akiamua kusimamisha hii isionekane huko Tanzania, na nikisema hii na maanisha JF na FIKRA zake.Kwanini hajafanya hivyo? HIVI VIDOLE vile vile ni bugudha kwa wananchi wengine huko wenye baba zao mama zao bibi zao babu zao watoto wao shangazi zao wajomba zao marehemu 1+1 jamboforum,…dunia nzima basi Jee unafikiri hao hawabugudhiwi na haya?

Lazima kuna upande wa pili wa Shilingi. Kuna sheria mbadala, Kuna utu, Kuna kutumia
Akili(sijui kama hii ina apply to moderators au?)Kuna mambo chungumzima-Hii sijui itakuwa vipi wananchi na wanahudhuria hapa, sijui, mpaka labda iwe, lakini, amnesty international! Tuepushe hili mbali!
WE DARE TALK OPENLY

Wameshindwa kutumia hata mantiki- Je ulishawai kuona kuna ulegevu wa mfumo wa moderation( najua utasema hapa kumkoma nyani) Sasa unaogopa nini Kukomana nyani giladi hapa? Moderators anaweza kuwa mchangiaji, na sio kukurupuka kutaka kuficha UFISADI wake wa FIKRA kwa kunifanyia USITTA hapa uwe unasoma vizuri. Where is your reasoning?

Your pompous action in it self is a sign of misconception,misinterpretention and misapprehension, Your action-Your ultimate dissolution of my Thread. Is more likely tusi la Fikra Inanibugudhi. Is this MODERATION at your Best?

Unakuta ma member wengi wanaingia humu wanataka data wanaleta ukweli wanataka picha zinaletwa picha zinaletwa data mpaka siri za serikali na mafacts...It is a fact.
Mpaka matusi mengine kwa waheshimiwa C’mon najua hapa ndio kumkoma nyani giladi poa tu tutamkoma ‘Mie ningewafukuza kazi’ haijamtukana je ni uchocheaji wa kinamna gani?sasa pale MODERATORS anapoanzisha na mimi naanzisha na yeye ni ngangali tu
bila hivyo ni unduminakuwili kuamka hapa na kuanza kudai ‘wengine wanatufanya hatuna akili’ sasa na mie nikubali hao MODERATORS wananifanya sina akili? Alafu ninyamaze?This is a Forum and not anybodies properties but able bodied haya yote yatabaki hapa hapa pamoja na Uchafu wangu lakini usikimbilie kusema wengine hawawajibiki wakati wewe/ nyie MODERATORS ambao ndio wachangiaji humu humu hamtaki tuseme Uchafu wenu.

Je MODERATORS walijiuliza ni kwa nini mie nataka wafukuzwe kazi. Unajuaje nina hizo facts au la? DID yo give it a MINUTE Hivi umekaa kwa akili yako timamu ukasoma udaku ukawa udaku? Ungeacha hoja huko nilipoituma . HOJA NZITO!

Haujui/Hamjui Jiuzulu Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo punguani wa akili. Nipe Sababu,HUNA!

Ulikaaa chini kuniuliza nilikuwa nataka kufanya nini. Toka nianze humu niko kwenye stendi yangu tu huko. angalia vizuri thread nilizoanzisha hazifiki hata kumi na kama ukiona moja ambayo haipo sehemu yake utamke/mtaamke. Ninawaheshimu, lakini mmevuka mpaka!

Tunapo taka kuelimishana saa nyingine inabidi tuwe wakali
 
nilisha kwambia zamani sana, hufai kuwa siriasi!! bakia vilevile, lakini wewe husikia....unaingia kusiko mjomba, mambo ya Joni Komba au Joel Bendera kuukwaa ubunge!!! ebo, wewe ni entateina na hata siku moja huwezi kuwa Mwanakijiji.........kama mods wamekuboa, basi wanunie, kama una hasira sana wa PM au quit kama Mchambuzi!! kelele zako hizi zitakuondolea mashabiki kule "kura bureki," kwani unaanza kuonekana kumbe wewe ni hitilafu kama sio mushkeli. LOL

Usitake kujifanya unanijua . Nimenyamaza mda mrefu sasa unafikiri unakanyaga gari bovu. Koma Thtuuuuu:eek: Nenda soma kula breki ni udaku, yaani umekaa na kumake believe kula breki ni udaku?:D:D:D:D make believe?-be serious.

. Nani alikuambia mimi nataka kuwa kama Mwanakijiji? Umeona wapi nataka kuwa kama mwanakijiji, ana nini? Wee shika mkia. Hii itilafu si ya wewe kuwaeleza kadamnasi-KULA BREKI!!! KOMA!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom