The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
Sijasema wote nimesema wengi.
Wapo wachache wanavuka lakini wachache sana
Sijasema wote nimesema wengi.
Wakati ule wafuasi 12 wa Yesu wwlikuwa wakigombania nafasi ya nani awe kiongozi awe na cheo kati yao. Yesu aliwasikia wakinong'ona nyuma yake. Ndio akawambia ya kuwa anayetaka kuwa Mkubwa kati yao sharti awe mtumishi wao soma Marko 10; 43-45unaweza kuelezea kidogo kwa undani hilo andiko?