Please Freeman Mbowe, matatizo yako binafsi usilazimishe yawe ya Watanzania wote

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa Freeman Mbowe amenaswa. Anahitaji msaada na huruma kutoka kwa Watanzania. Anadai eti hadi Desemba 2017, watanzania watashindwa kununua hata dawa ya mswaki.

Binafsi namcheka sana huyu jamaa. Kinachomfanya aongee kwa jazba si matatizo ya Watanzania bali ni kutokana na anguko kubwa lililompata pamoja na watu waliomzunguka akiwemo Edward Lowasa. Hawa kwa sasa hali yao ni dhoofu bin ali. Hawana tena pa kupiga. Deal zote zimegoma na Magufuli kawatight kila kona. Hataki kuwaachia wapumue hata kwa sekunde moja.

Ule mwezi wa saba wa wanaume kubaki mijini umetoa jibu. Wanaume wanaendelea kukomaa ila wale wenzangu na mie waliotaraji mteremko wanalia na kusaga meno.

Jawabu la matatizo yote haya ni moja tu. Kuwa mwadilifu na kufanya kazi kwa bidii. Tatizo watu kama Mbowe walizoea kuishi kwa kuiba. Hata foundation ya biashara yake haijui. Ndo maana kaminywa kidogo tu analia ili Watanzania tumsaidie.

Magufuli endelea kushikilia hapo hapo. Wameshaanza kuweweseka.
 
Yaani ccm ina kazi sana uchumi unashuka mnasema Mbowe na lowasa awana pa kupiga dili ndio maana sukari 3000 badala ya 1800 bei elekezi unga dona 2000 badala ya 1200 kwa hiyo mbowe na lowasa walikuwa wanapiga dili ili bidhaa za vyakula vishuke basi wapige dili milele mana watanzania wataneemeka uchumi kila unashuka ela yetu inashuka thamani hamuoni au ndio mbowe na lowasa wamekosa pa kupiga dili kama mnavyowaambia wapumbavu wazidi kupumbazika
 
Yaani ccm ina kazi sana uchumi unashuka mnasema Mbowe na lowasa awana pa kupiga dili ndio maana sukari 3000 badala ya 1800 bei elekezi unga dona 2000 badala ya 1200 kwa hiyo mbowe na lowasa walikuwa wanapiga dili ili bidhaa za vyakula vishuke basi wapige dili milele mana watanzania wataneemeka uchumi kila unashuka ela yetu inashuka thamani hamuoni au ndio mbowe na lowasa wamekosa pa kupiga dili kama mnavyowaambia wapumbavu wazidi kupumbazika
kwahiyo kupanda kwa bei ya sukari na unga ndo viashiria vya uchumi kushuka??? huu ndo ujinga mlio jadili masaa 48, kupanda kwa bei ya unga na sukari???
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa Freeman Mbowe amenaswa. Anahitaji msaada na huruma kutoka kwa Watanzania. Anadai eti hadi Desemba 2017, watanzania watashindwa kununua hata dawa ya mswaki.

Binafsi namcheka sana huyu jamaa. Kinachomfanya aongee kwa jazba si matatizo ya Watanzania bali ni kutokana na anguko kubwa lililompata pamoja na watu waliomzunguka akiwemo Edward Lowasa. Hawa kwa sasa hali yao ni dhoofu bin ali. Hawana tena pa kupiga. Deal zote zimegoma na Magufuli kawatight kila kona. Hataki kuwaachia wapumue hata kwa sekunde moja.

Ule mwezi wa saba wa wanaume kubaki mijini umetoa jibu. Wanaume wanaendelea kukomaa ila wale wenzangu na mie waliotaraji mteremko wanalia na kusaga meno.

Jawabu la matatizo yote haya ni moja tu. Kuwa mwadilifu na kufanya kazi kwa bidii. Tatizo watu kama Mbowe walizoea kuishi kwa kuiba. Hata foundation ya biashara yake haijui. Ndo maana kaminywa kidogo tu analia ili Watanzania tumsaidie.

Magufuli endelea kushikilia hapo hapo. Wameshaanza kuweweseka.
Kumbe upooo.. upungufu wa buku saba umepunguza sana speed yako kwel.. Magu shikilia hapo hapo hawa ccm maslah wapotee
 
Back
Top Bottom