Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,240
- 88,154
Yes dearhuu ni wimbo au??
Yes dearhuu ni wimbo au??
Jamani sio kila siku. Anaeniumizaga ni mmoja tuu. Sikuwahi kuapa kuacha kupenda nilisema natamani kupenda tena tatizo moyo.[HASHTAG]#mzigua90[/HASHTAG] kila siku anaumizwaga tu anarudi kuomba ushauri humu, aliapa kutokua na mahusiano tena nashangaa kama ameanzisha mengine
MmmmmhJamani sio kila siku. Anaeniumizaga ni mmoja tuu. Sikuwahi kuapa kuacha kupenda nilisema natamani kupenda tena tatizo moyo.
Jamani sio kila siku. Anaeniumizaga ni mmoja tuu. Sikuwahi kuapa kuacha kupenda nilisema natamani kupenda tena tatizo moyo.
Nini???Mmmmmh
Okay booMpotezee tu boo.. ni kawivu hako kamsumbua sumbua
Wamezoea kupandana ovyo haoMfyuuuu ushauri gani huo wa kutiana mimba kipindi hiki. Mimba mpaka baba J atoke madarakani
Unamtoa mate mwenzakoNampikia maandazi na chai ya tangawizi
Tanga ndio mapenz yalikozaliwa.
Good afternoonGood morning
Elimu bure sio ya kila mtuKwani Baba J anahusika vipi na nyie kugegedana. Wewe fyatua tu Elimu bure WaTz tupo kwenye Lait Track
Wewe jamaaaHalafu unakuja kusikia jamaa ni mshika pembe!
Makalahuu ni wimbo au??
Khaaaaaa we mwanaWe acha tu, I miss you
Nimekaa nakufikiria haba
Nakuwaza kila saa
Tears on my pillow
Nakuwaza days and nights
Nimechoka nipo njiani
Inabidi uwe jiranini unipe furaha
Yeah, hakuna wa kunipa unachonipa, na wala
Hakuna wa kuniita unavyoniita
Hakuna wa kunifanya nihisi
Ninavyohisi nikiwa nawe kwako nimefika
Nataka uwe nami kila siku
Uwe nami niwe nawe iwe mchana na usiku ah
Uwe jirani, uwe nami tuwe ndani
Urudi nyumbani kwani kwangu we ni kila kitu, yeah
Na inabidi uwe hapa bila shaka
Muda hauendi natamani urudi sasa
Hata Mungu hapendi nagubikwa na mashaka
Niondoe wasiwasi naomba urudi faster
Ujue, upweke na hofu ni juu yako
Nimekumiss nataka nijue japo
Upendo wako unanifanya niwe juu
Na kama utachelewa nataka nitue hapo
Aaah aaah ah ah
We acha tu, I miss you
Nimekaa nakufikiria ah baba
Nakuwaza kila saa
Tears on my pillow
Nakuwaza days and nights
Nimechoka nipo njiani
Inabidi uwe jiranini unipe furaha
Kutoka siku ya kwanza nilijua kwamba uuuh
Itakuwa ngum sana na nikawaza uuuh
Where you are you're far away, come back home
It's not the same without you, baby, come back home
I need you here with me, come back home
Tears on my pillow, eeeeh
Narudi nijifariji kuona karibu utarudi nyumbani
Haielezeki, oooh I miss you
Aaah aaah ah ah
We acha tu, I miss you
Nimekaa nakufikiria ah baba
Nakuwaza kila saa
Tears on my pillow
Nakuwaza days and nights
Nimechoka nipo njiani
Inabidi uwe jiranini unipe furaha
Kila siku nafungua panzia asubuhi
Naangalia nje njiani
Nikidhani pengine siku utarudi
Ili tena niwe furahani, natafuta nyayo zakoo
Narudi nijifariji kuona karibu utarudi nyumbani
Haielezeki, oooh I miss you
Aaah aaah ah ah
We acha tu, I miss you
Nimekaa nakufikiria ah baba
Nakuwaza kila saa
Tears on my pillow
Nakuwaza days and nights
Nimechoka nipo njiani
Inabidi uwe jiranini unipe furaha
Aaah tears on my pillow...
Nimechoka nipo njiani, mpenzi
Kwako Ceph
Amefika kwa mkurya hapa hakuna tena wa kumuumiza[HASHTAG]#mzigua90[/HASHTAG] kila siku anaumizwaga tu anarudi kuomba ushauri humu, aliapa kutokua na mahusiano tena nashangaa kama ameanzisha mengine
Mpe big fiveKhaaaaaa we mwana
Itabidi unizoee tu...kuna kawivu kananisumbua!Wewe jamaaa
Niko penziniiKhaaaaaa we mwana
Ngoja nimemwambie shem wako akuletee dawaItabidi unizoee tu...kuna kawivu kananisumbua!