Please come to me my Mzigua90, i miss you so much my black african lady.

We acha tu, I miss you

Nimekaa nakufikiria haba

Nakuwaza kila saa

Tears on my pillow

Nakuwaza days and nights

Nimechoka nipo njiani

Inabidi uwe jiranini unipe furaha



Yeah, hakuna wa kunipa unachonipa, na wala

Hakuna wa kuniita unavyoniita

Hakuna wa kunifanya nihisi

Ninavyohisi nikiwa nawe kwako nimefika

Nataka uwe nami kila siku

Uwe nami niwe nawe iwe mchana na usiku ah

Uwe jirani, uwe nami tuwe ndani

Urudi nyumbani kwani kwangu we ni kila kitu, yeah

Na inabidi uwe hapa bila shaka

Muda hauendi natamani urudi sasa

Hata Mungu hapendi nagubikwa na mashaka

Niondoe wasiwasi naomba urudi faster

Ujue, upweke na hofu ni juu yako

Nimekumiss nataka nijue japo

Upendo wako unanifanya niwe juu

Na kama utachelewa nataka nitue hapo



Aaah aaah ah ah

We acha tu, I miss you

Nimekaa nakufikiria ah baba

Nakuwaza kila saa

Tears on my pillow

Nakuwaza days and nights

Nimechoka nipo njiani

Inabidi uwe jiranini unipe furaha



Kutoka siku ya kwanza nilijua kwamba uuuh

Itakuwa ngum sana na nikawaza uuuh

Where you are you're far away, come back home

It's not the same without you, baby, come back home

I need you here with me, come back home

Tears on my pillow, eeeeh



Narudi nijifariji kuona karibu utarudi nyumbani

Haielezeki, oooh I miss you



Aaah aaah ah ah

We acha tu, I miss you

Nimekaa nakufikiria ah baba

Nakuwaza kila saa

Tears on my pillow

Nakuwaza days and nights

Nimechoka nipo njiani

Inabidi uwe jiranini unipe furaha



Kila siku nafungua panzia asubuhi

Naangalia nje njiani

Nikidhani pengine siku utarudi

Ili tena niwe furahani, natafuta nyayo zakoo



Narudi nijifariji kuona karibu utarudi nyumbani

Haielezeki, oooh I miss you



Aaah aaah ah ah

We acha tu, I miss you

Nimekaa nakufikiria ah baba

Nakuwaza kila saa

Tears on my pillow

Nakuwaza days and nights

Nimechoka nipo njiani

Inabidi uwe jiranini unipe furaha



Aaah tears on my pillow...

Nimechoka nipo njiani, mpenzi

Kwako Ceph
Khaaaaaa we mwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom