Please cheka kidogo!

Dawson

Member
Mar 6, 2009
43
3
Don't sleep in the church

A man who went to church with his wife always fell asleep during the sermon. The wife decided to do something about this. One Sunday, she took a long hatpin with her to poke him with every time he would doze off. As the preacher got to a part in the sermon where he shouted out,
"And who created all there is in 6six days and rested on the seventh," she poked her husband, who came flying out of the pew and screamed, "Good God almighty!"

The minister said, "That's right, that's right," and went on with his sermon. The man sat back down, muttering under his breath and later began to doze off again. When the minister got to, "And who died on the cross to save us from our sins," the wife hit him again, and he jumped up and shouted, "Jesus Christ!" The minister said, "That's right, that's right, the man sat back down and began to watch his wife and when the minister got to, "And what did Eve say to Adam after the birth of their second child?" the wife started to poke the husband again, but he jumped up and said, "I f you stick that damn thing in me again, I'll break it off!"
 
Haha tehe kweli usingizi noma, kuna mwingine alikuwa mzee wa baraza mahakamani, kesi ilikuwa mwanamme kamtongoza mke wa mtu ktk kuulizana maswali na majibu ikafika steji mshtaki alikuwa mwanamke akasema kwa kweli maneno aliyoyasema mtuhumiwa siwezi yasema hadhari basi ikaamliwa yaandikwe halafu kile kikaratasi kipite kwa kila mjumbe akisome, huyu mzee wa baraza aliyekuwa anasinzia, upande wake wa kushoto kilikotokea kikaratasi alikuwa amekaa mama mtu mzima hivi, basi kile kikaratasi kikamfikia yule mama akakisoma, mzee wa baraza km kawaida kauchapa usingizi ikabidi yule mama amshtue na kumkabidhi, mzee akasoma kile kikaratasi kwa kuwa alikuwa usingizini hakusikia ni nini kilikuwa kinaendelea basi akamaka kwa sauti ya furaha kidogo TWENDE BASI SASA HIVI, anamwambia yule mama pembeni yake, baraza zima likaangua kicheko kumbe kile kikaratasi kilikuwa kimeandikwa TWENDE TUKAFANYE MAPENZI.
 
Haha tehe kweli usingizi noma, kuna mwingine alikuwa mzee wa baraza mahakamani, kesi ilikuwa mwanamme kamtongoza mke wa mtu ktk kuulizana maswali na majibu ikafika steji mshtaki alikuwa mwanamke akasema kwa kweli maneno aliyoyasema mtuhumiwa siwezi yasema hadhari basi ikaamliwa yaandikwe halafu kile kikaratasi kipite kwa kila mjumbe akisome, huyu mzee wa baraza aliyekuwa anasinzia, upande wake wa kushoto kilikotokea kikaratasi alikuwa amekaa mama mtu mzima hivi, basi kile kikaratasi kikamfikia yule mama akakisoma, mzee wa baraza km kawaida kauchapa usingizi ikabidi yule mama amshtue na kumkabidhi, mzee akasoma kile kikaratasi kwa kuwa alikuwa usingizini hakusikia ni nini kilikuwa kinaendelea basi akamaka kwa sauti ya furaha kidogo TWENDE BASI SASA HIVI, anamwambia yule mama pembeni yake, baraza zima likaangua kicheko kumbe kile kikaratasi kilikuwa kimeandikwa TWENDE TUKAFANYE MAPENZI.

tehe tehe,
 
Haha tehe kweli usingizi noma, kuna mwingine alikuwa mzee wa baraza mahakamani, kesi ilikuwa mwanamme kamtongoza mke wa mtu ktk kuulizana maswali na majibu ikafika steji mshtaki alikuwa mwanamke akasema kwa kweli maneno aliyoyasema mtuhumiwa siwezi yasema hadhari basi ikaamliwa yaandikwe halafu kile kikaratasi kipite kwa kila mjumbe akisome, huyu mzee wa baraza aliyekuwa anasinzia, upande wake wa kushoto kilikotokea kikaratasi alikuwa amekaa mama mtu mzima hivi, basi kile kikaratasi kikamfikia yule mama akakisoma, mzee wa baraza km kawaida kauchapa usingizi ikabidi yule mama amshtue na kumkabidhi, mzee akasoma kile kikaratasi kwa kuwa alikuwa usingizini hakusikia ni nini kilikuwa kinaendelea basi akamaka kwa sauti ya furaha kidogo TWENDE BASI SASA HIVI, anamwambia yule mama pembeni yake, baraza zima likaangua kicheko kumbe kile kikaratasi kilikuwa kimeandikwa TWENDE TUKAFANYE MAPENZI.
Hiyo tayari ni kesi nyingine, inabidi baraza lingine liitwe!
 
laughing-baby-cropped.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom