Play Cool to get and not hard to get.........

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Wapendwa ndugu, jamaa na marafiki......natumaini weekend kwenu ilikuwa njema kama kwangu. tumshukuru MUNGU kwa hili.

Wakati nikiwa nimekaa kwangu nikiimalizia weekend hii ya mwisho wa mwezi wa november, 2010 nimejikuta nawaza mahusiano na vituko vyake. Sijui kama ni sahihi but inaweza kusaidia kujenga mahusiano ya kudumu kwa yule umpendaye......... nawaza.
1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman
Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence. Relax
Dont ask him a direct question- usimwulize unatoka na nani? why have you changed, ushatoka nje ya ndoa e.t.c. maswali ya hivi yanamfanya aamini kuwa unafanya GUESS work huna unalolijua hence giving him more chance na nguvu ya kuendelea na akifanyacho. ......it doesnt matter whether its true or not we mwonyeshe kuwa unajua anachokifanya (hata kama hafanyi kitu - which is not obvious- ni mtu wako akibadilika utajua tu) mwambie straight kuwa you know what he is doing all you need from him ni USALAMA- Atake care in what ever he is doing.....tena ikiwezekana jenga tabia ya kumkinga (mwekee condoms ndani ya briefcase kila akisafiri au kwenye mfuko wa shati kila akienda kazini asubuhi). The logic behind is
1. Kama anafanya, basi atabaki anajiuliza umejuaje and to what extent do you know.
2. Kama hafanyi basi atajua unamjali na uko makini.

ii. Love him more with all your heart but remember to take your brain with you.

THIS IS WHAT I BELIEVE WORKS FOR WOMEN ( NOT NECESSARILY SHOULD IT BE TRUE)
Sijui kwa wanaume..........should we, women be treated the same??
Have a nice weekend
 
hio ya kumuwekea condoms ni ngumu MJI.....:bump::bump:
ni kama unahalalisha vile afanyacho...
unampa mixed message uko happy na afanyayo...
in reality,hauko hivyo...

mie kwangu itakuwa ngumu kufanya hivi...:embarrassed:
 
Wapendwa ndugu, jamaa na marafiki......natumaini weekend kwenu ilikuwa njema kama kwangu. tumshukuru MUNGU kwa hili.

Wakati nikiwa nimekaa kwangu nikiimalizia weekend hii ya mwisho wa mwezi wa november, 2010 nimejikuta nawaza mahusiano na vituko vyake. Sijui kama ni sahihi but inaweza kusaidia kujenga mahusiano ya kudumu kwa yule umpendaye......... nawaza.
1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman
Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence. Relax
Dont ask him a direct question- usimwulize unatoka na nani? why have you changed, ushatoka nje ya ndoa e.t.c. maswali ya hivi yanamfanya aamini kuwa unafanya GUESS work huna unalolijua hence giving him more chance na nguvu ya kuendelea na akifanyacho. ......it doesnt matter whether its true or not we mwonyeshe kuwa unajua anachokifanya (hata kama hafanyi kitu - which is not obvious- ni mtu wako akibadilika utajua tu) mwambie straight kuwa you know what he is doing all you need from him ni USALAMA- Atake care in what ever he is doing.....tena ikiwezekana jenga tabia ya kumkinga (mwekee condoms ndani ya briefcase kila akisafiri au kwenye mfuko wa shati kila akienda kazini asubuhi). The logic behind is
1. Kama anafanya, basi atabaki anajiuliza umejuaje and to what extent do you know.
2. Kama hafanyi basi atajua unamjali na uko makini.

ii. Love him more with all your heart but remember to take your brain with you.

THIS IS WHAT I BELIEVE WORKS FOR WOMEN ( NOT NECESSARILY SHOULD IT BE TRUE)
Sijui kwa wanaume..........should we, women be treated the same??
Have a nice weekend
Waaw... i could give u a Kiss ila naogopa manundu..:whoo::whoo:
Namiini mwanamke wa aina hiyo.... haachiki hata kama yeye ndo ataondoka.. jamaaa litamfata hata kwa kifaru!!
 
Wapendwa ndugu, jamaa na marafiki......natumaini weekend kwenu ilikuwa njema kama kwangu. tumshukuru MUNGU kwa hili.

Wakati nikiwa nimekaa kwangu nikiimalizia weekend hii ya mwisho wa mwezi wa november, 2010 nimejikuta nawaza mahusiano na vituko vyake. Sijui kama ni sahihi but inaweza kusaidia kujenga mahusiano ya kudumu kwa yule umpendaye......... nawaza.
1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman
Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence. Relax
Dont ask him a direct question- usimwulize unatoka na nani? why have you changed, ushatoka nje ya ndoa e.t.c. maswali ya hivi yanamfanya aamini kuwa unafanya GUESS work huna unalolijua hence giving him more chance na nguvu ya kuendelea na akifanyacho. ......it doesnt matter whether its true or not we mwonyeshe kuwa unajua anachokifanya (hata kama hafanyi kitu - which is not obvious- ni mtu wako akibadilika utajua tu) mwambie straight kuwa you know what he is doing all you need from him ni USALAMA- Atake care in what ever he is doing.....tena ikiwezekana jenga tabia ya kumkinga (mwekee condoms ndani ya briefcase kila akisafiri au kwenye mfuko wa shati kila akienda kazini asubuhi). The logic behind is
1. Kama anafanya, basi atabaki anajiuliza umejuaje and to what extent do you know.
2. Kama hafanyi basi atajua unamjali na uko makini.

ii. Love him more with all your heart but remember to take your brain with you.

THIS IS WHAT I BELIEVE WORKS FOR WOMEN ( NOT NECESSARILY SHOULD IT BE TRUE)
Sijui kwa wanaume..........should we, women be treated the same??
Have a nice weekend

Muwekewe care condoms (condom za kike) hehehe
:painkiller::painkiller::painkiller::painkiller:
 
kwa kweli hata maandiko yanasema 'mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake mwenyewe'.........huu ni ushauri mzuri sana..........thanx
 
kumuwekea condom haisaidii zaidi utamwongezea kasi ya kufanya hivyo................
 
kila kitu nakubaliana na we kabisa ....
kasoro hapo tu yakumpa condom........
 
Wapendwa ndugu, jamaa na marafiki......natumaini weekend kwenu ilikuwa njema kama kwangu. tumshukuru MUNGU kwa hili.

Wakati nikiwa nimekaa kwangu nikiimalizia weekend hii ya mwisho wa mwezi wa november, 2010 nimejikuta nawaza mahusiano na vituko vyake. Sijui kama ni sahihi but inaweza kusaidia kujenga mahusiano ya kudumu kwa yule umpendaye......... nawaza.
1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman
Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence. Relax
Dont ask him a direct question- usimwulize unatoka na nani? why have you changed, ushatoka nje ya ndoa e.t.c. maswali ya hivi yanamfanya aamini kuwa unafanya GUESS work huna unalolijua hence giving him more chance na nguvu ya kuendelea na akifanyacho. ......it doesnt matter whether its true or not we mwonyeshe kuwa unajua anachokifanya (hata kama hafanyi kitu - which is not obvious- ni mtu wako akibadilika utajua tu) mwambie straight kuwa you know what he is doing all you need from him ni USALAMA- Atake care in what ever he is doing.....tena ikiwezekana jenga tabia ya kumkinga (mwekee condoms ndani ya briefcase kila akisafiri au kwenye mfuko wa shati kila akienda kazini asubuhi). The logic behind is
1. Kama anafanya, basi atabaki anajiuliza umejuaje and to what extent do you know.
2. Kama hafanyi basi atajua unamjali na uko makini.

ii. Love him more with all your heart but remember to take your brain with you.

THIS IS WHAT I BELIEVE WORKS FOR WOMEN ( NOT NECESSARILY SHOULD IT BE TRUE)
Sijui kwa wanaume..........should we, women be treated the same??
Have a nice weekend[/QUOT

wasiwasi wangu kwa vidume mcharuko ndio vitazidisha spidi mwisho ukafa kwa presha
 
Uko sahhihi, nice advice, mwnamke kama ww mwanume hatakuacha takuwa akikuona kama amekuoa atakuwa na aibu sana
ila ukijua anatoka na mwanamke mwingine usiogope kumwuliza, usisubiri akuambukize ukimwi kisa ukimya, if it reaches to extent
xxxxxxxx hovyo kama kuku, una haki na wajibu wa kumlinda mme wako acha habari zingine, kama hatulii mwache plse, pia hili la kumwekea condom utavunja ndoa dada yangu
 
...nilivyomuelewa MwanajamiiOne ni kwamba, kila mtu anahitaji na kustahiki ---space--- maishani.
Mambo ya kuchunguzana na kukabana kama mpira wa kona yamepitwa na wakati.
sana sana ni kujitafutia kuyafumua magonjwa ya BP, kisukari na stroke buree...

"Kunguru hafugiki!"
 
...nilivyomuelewa MwanajamiiOne ni kwamba, kila mtu anahitaji na kustahiki ---space--- maishani.
Mambo ya kuchunguzana na kukabana kama mpira wa kona yamepitwa na wakati.
sana sana ni kujitafutia kuyafumua magonjwa ya BP, kisukari na stroke buree...

"Kunguru hafugiki!"

na akifugika huyo si kunguru, njiwa, ambaye ni mwema na ataweza mapenzi
 
...nilivyomuelewa MwanajamiiOne ni kwamba, kila mtu anahitaji na kustahiki ---space--- maishani.
Mambo ya kuchunguzana na kukabana kama mpira wa kona yamepitwa na wakati.
sana sana ni kujitafutia kuyafumua magonjwa ya BP, kisukari na stroke buree...

"Kunguru hafugiki!"

Hapo palipokoza wekundu... kina kaka mpo?
Mbu,
Hicho kilichosemwa in red je ni mtambuka/ cross-cutting kwa wote wanawake na wanaume?
 
Wapendwa ndugu, jamaa na marafiki......natumaini weekend kwenu ilikuwa njema kama kwangu. tumshukuru MUNGU kwa hili.

Wakati nikiwa nimekaa kwangu nikiimalizia weekend hii ya mwisho wa mwezi wa november, 2010 nimejikuta nawaza mahusiano na vituko vyake. Sijui kama ni sahihi but inaweza kusaidia kujenga mahusiano ya kudumu kwa yule umpendaye......... nawaza.
1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman
Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence. Relax
Dont ask him a direct question- usimwulize unatoka na nani? why have you changed, ushatoka nje ya ndoa e.t.c. maswali ya hivi yanamfanya aamini kuwa unafanya GUESS work huna unalolijua hence giving him more chance na nguvu ya kuendelea na akifanyacho. ......it doesnt matter whether its true or not we mwonyeshe kuwa unajua anachokifanya (hata kama hafanyi kitu - which is not obvious- ni mtu wako akibadilika utajua tu) mwambie straight kuwa you know what he is doing all you need from him ni USALAMA- Atake care in what ever he is doing.....tena ikiwezekana jenga tabia ya kumkinga (mwekee condoms ndani ya briefcase kila akisafiri au kwenye mfuko wa shati kila akienda kazini asubuhi). The logic behind is
1. Kama anafanya, basi atabaki anajiuliza umejuaje and to what extent do you know.
2. Kama hafanyi basi atajua unamjali na uko makini.

ii. Love him more with all your heart but remember to take your brain with you.

THIS IS WHAT I BELIEVE WORKS FOR WOMEN ( NOT NECESSARILY SHOULD IT BE TRUE)
Sijui kwa wanaume..........should we, women be treated the same??
Have a nice weekend

Mjukuu nimefikiria sana je kwa upande wa mwanaume kama mwanamke ndio anafanya hivi it will be very difficult to swallow though unaweza ukasamehe lakini if it goes sidhani kama unaweza kuendelea ku-handle that situation, kwa mwanamke kuwa hivyo kama ulivyoainisha hapo juu yawezekana lakini akikutana na kidume ambaye ni mcharuko basi atakuwa anaumia sana kuna baadhi ya vitu unabidi uchukue maamuzi magumu ikifika mahali amabapo unaona kwamba enough is enough.

Halafu mjukuu hiyo signature yako bana umenifurahisha sana
 
...nilivyomuelewa MwanajamiiOne ni kwamba, kila mtu anahitaji na kustahiki ---space--- maishani.
Mambo ya kuchunguzana na kukabana kama mpira wa kona yamepitwa na wakati.
sana sana ni kujitafutia kuyafumua magonjwa ya BP, kisukari na stroke buree...

"Kunguru hafugiki!"

Inategemea ni space ya nini, sio kila space unayompa mwenzi wako anaitumia kama inavyotakiwa
 
Asante sana MJ1 kwa post nzuri sana ..
Ila nikirudi kwenye swala zima la kumuwekea condoms kwenye briefcase inakuwa ngumu sana
eeh mama hawa wanaume ni kama watoto wadogo na mtoto anajifunza kupitia kwa mama /baba yake
anaweza kufanya kweli kwani anaamini haya mamabo ya Infidelity kwa upande wao ni sahihi .
 
Wow... hii mada kwangu imekaa kimtindo aisee

Mie mama akiniwekea kondom ataikuta hivyo hata miaka mia... using the condom uliyopewa nyumbani inahalisha na kurasimisha upigaji LOL. MJ1, i appreciate your point of view ...cha maana ni kutulia na kumuweka jamaa kwenye situation nzuri, romantic and very sensitive kisha unaanza kumpa ishara kwamba unajua afanyacho bila kuwa muwazi zaidi


kasheshe ni pale ukiwa na vuvuzela, hizo zite hazifuatwi, QUESTION: JE SISI WANAUME TUKO TAYARI KUHISI NA KUKAA KIMYA?
 
Wow... hii mada kwangu imekaa kimtindo aisee

Mie mama akiniwekea kondom ataikuta hivyo hata miaka mia... using the condom uliyopewa nyumbani inahalisha na kurasimisha upigaji LOL. MJ1, i appreciate your point of view ...cha maana ni kutulia na kumuweka jamaa kwenye situation nzuri, romantic and very sensitive kisha unaanza kumpa ishara kwamba unajua afanyacho bila kuwa muwazi zaidi


kasheshe ni pale ukiwa na vuvuzela, hizo zite hazifuatwi, QUESTION: JE SISI WANAUME TUKO TAYARI KUHISI NA KUKAA KIMYA?

Cousin nashukuru sana kwa kurejea swali ambalo na mimi niliuliza kama wanaume tuko tayari kuhisi na kukaa kimya ingawa naona ni ishu ngumu, by the way vespa umeishazileta lol!!!
 
Asante sana MJ1 kwa post nzuri sana ..
Ila nikirudi kwenye swala zima la kumuwekea condoms kwenye briefcase inakuwa ngumu sana
eeh mama hawa wanaume ni kama watoto wadogo na mtoto anajifunza kupitia kwa mama /baba yake
anaweza kufanya kweli kwani anaamini haya mamabo ya Infidelity kwa upande wao ni sahihi .

FL1 hujambo....
Hawezi kuwa mpumbavu hadi atumia kondom ulizomweka....believe me utazikuta ulivyozoweka...sihu ni ujumbe aupatao...
 
Cousin nashukuru sana kwa kurejea swali ambalo na mimi niliuliza kama wanaume tuko tayari kuhisi na kukaa kimya ingawa naona ni ishu ngumu, by the way vespa umeishazileta lol!!!
Ukweli ni kwamba tunaweza, ila inabidi tununue punching bags na mapanga na mafyekeo ili presha ikizidi unajipa kazi ya bustani au gym... ZILE VESPA ZIPO TAYARI NA CHALE MNENE KESHACUKUA MOJA, BADO WEWE
 
Ukweli ni kwamba tunaweza, ila inabidi tununue punching bags na mapanga na mafyekeo ili presha ikizidi unajipa kazi ya bustani au gym... ZILE VESPA ZIPO TAYARI NA CHALE MNENE KESHACUKUA MOJA, BADO WEWE

:lol::lol::lol::lol::tea::tea: mfikishie salamu zangu Kanyagio na Dr
 
Back
Top Bottom