Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
""Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence.""
hicho kipande kimenigusa...kwa waliopitia kashikashi kama mie cku hizi hicho ni kitu cha kawaida kabisaa, tumewachia wanaoanza game...haaaa.
MJ1 hapo kwenye condom...napenda kusema "HAPANA/HAITAWEZEKANA"...yaani kuhalalisha kabisa?...kama anafanya an ajilinde! kumbuka umetokea huko MJ1, sio rahic kihivyo.
hicho kipande kimenigusa...kwa waliopitia kashikashi kama mie cku hizi hicho ni kitu cha kawaida kabisaa, tumewachia wanaoanza game...haaaa.
MJ1 hapo kwenye condom...napenda kusema "HAPANA/HAITAWEZEKANA"...yaani kuhalalisha kabisa?...kama anafanya an ajilinde! kumbuka umetokea huko MJ1, sio rahic kihivyo.