MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,543
Wapendwa ndugu, jamaa na marafiki......natumaini weekend kwenu ilikuwa njema kama kwangu. tumshukuru MUNGU kwa hili.
Wakati nikiwa nimekaa kwangu nikiimalizia weekend hii ya mwisho wa mwezi wa november, 2010 nimejikuta nawaza mahusiano na vituko vyake. Sijui kama ni sahihi but inaweza kusaidia kujenga mahusiano ya kudumu kwa yule umpendaye......... nawaza.
1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman
Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence. Relax
Dont ask him a direct question- usimwulize unatoka na nani? why have you changed, ushatoka nje ya ndoa e.t.c. maswali ya hivi yanamfanya aamini kuwa unafanya GUESS work huna unalolijua hence giving him more chance na nguvu ya kuendelea na akifanyacho. ......it doesnt matter whether its true or not we mwonyeshe kuwa unajua anachokifanya (hata kama hafanyi kitu - which is not obvious- ni mtu wako akibadilika utajua tu) mwambie straight kuwa you know what he is doing all you need from him ni USALAMA- Atake care in what ever he is doing.....tena ikiwezekana jenga tabia ya kumkinga (mwekee condoms ndani ya briefcase kila akisafiri au kwenye mfuko wa shati kila akienda kazini asubuhi). The logic behind is
1. Kama anafanya, basi atabaki anajiuliza umejuaje and to what extent do you know.
2. Kama hafanyi basi atajua unamjali na uko makini.
ii. Love him more with all your heart but remember to take your brain with you.
THIS IS WHAT I BELIEVE WORKS FOR WOMEN ( NOT NECESSARILY SHOULD IT BE TRUE)
Sijui kwa wanaume..........should we, women be treated the same??
Have a nice weekend
Wakati nikiwa nimekaa kwangu nikiimalizia weekend hii ya mwisho wa mwezi wa november, 2010 nimejikuta nawaza mahusiano na vituko vyake. Sijui kama ni sahihi but inaweza kusaidia kujenga mahusiano ya kudumu kwa yule umpendaye......... nawaza.
1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman
Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence. Relax
Dont ask him a direct question- usimwulize unatoka na nani? why have you changed, ushatoka nje ya ndoa e.t.c. maswali ya hivi yanamfanya aamini kuwa unafanya GUESS work huna unalolijua hence giving him more chance na nguvu ya kuendelea na akifanyacho. ......it doesnt matter whether its true or not we mwonyeshe kuwa unajua anachokifanya (hata kama hafanyi kitu - which is not obvious- ni mtu wako akibadilika utajua tu) mwambie straight kuwa you know what he is doing all you need from him ni USALAMA- Atake care in what ever he is doing.....tena ikiwezekana jenga tabia ya kumkinga (mwekee condoms ndani ya briefcase kila akisafiri au kwenye mfuko wa shati kila akienda kazini asubuhi). The logic behind is
1. Kama anafanya, basi atabaki anajiuliza umejuaje and to what extent do you know.
2. Kama hafanyi basi atajua unamjali na uko makini.
ii. Love him more with all your heart but remember to take your brain with you.
THIS IS WHAT I BELIEVE WORKS FOR WOMEN ( NOT NECESSARILY SHOULD IT BE TRUE)
Sijui kwa wanaume..........should we, women be treated the same??
Have a nice weekend