DAT BOY SU
Member
- Nov 15, 2017
- 29
- 30
- Thread starter
- #21
Hivi unaanzaje kuwasifia CCM, wakati inajulikana wazi kuwa wanatumia nguvu ya chama dola, kuvuruga misingi yote ya kidemokrasia iliyo ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ibara ya 3(1) ambayo inatamka wazi kuwa "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakuwa nchi ya kidemokrasia na inayofuata mfumo wa vyama vingi" mwisho wa kunukuu
Hebu nikuulize swali dogo tu mleta post, hivi ukiutazama uchagizi wa serikali za mitaa namna ulivyoendeshwa, hivi unaupataje ujasiri wa kuisifu CCM kwa ushindi wa kishindo walioupata wa zaidi ya asimia 99.9??
Hivi unaweza kumdanganya hata mtoto mdogo anayesoma chekechea, kuwa nchi hii inaendeshwa kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi na akakukubalia??
[Kwan aliyewazima sumaye, zitto, wangwe, cecil mwambe kutogombea uenyekiti ni dola mbona unakuwa msahaulifu sana