Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
- Thread starter
- #541
Pamoja sana mkuu..asante mkuu the bold umesomeka vyema
Pamoja sana mkuu..asante mkuu the bold umesomeka vyema
uelezee huo upumbavu wa sera za castro....acha bla bla jaribu kujibu hoja kwa hoja je unazijua sera za ujamaa za cuba? je historia ya cuba wataka ifananisha na china? je hali ya kijiografia ya cuba dhidi ya marekani ni sawa na ya china? usiandike tu kwavile unajua kusoma na kuandika tafakari kwa kina kabla ya kuandika maana yaweza dhihirisha ujinga au werevu wako juu ya mambo flanihivyo vikwazo vya kiuchumi vimetokana na sera za kipumbavu za Fidel Castro......mbona China sio nchi ya kibepari lakini haijawahi kuwekewa vikwazo? castro amewatesa sana Wacuba kwa sera zake za ujamaa wa kipumbavu na kuwaza ujinga ujinnga tu wa mapinduzi
Eti wampe nakala balozi wa cuba kisha wamtafute The Bold, hivi kwanini watanzania tunapenda kupigana mikwara ya kijinga hivi?
Unachoshindwa kwenda sasa hivi kwa balozi kuripoti ni nini??mwabie tena aandike uongo wake na habari za kuchafuana halafu uone, kwa kifupi msifikiri kila mtu anapenda habari za kizushi na uongo wa kujifanya mjuaji wa mambo kumbe hakuna lolote....
andika uongo mwingine wa kumzushia castro na madawa ya kulevya... just do it bro....Unachoshindwa kwenda sasa hivi kwa balozi kuripoti ni nini??
Nenda sasa... I dare you.!
The bold , achana na watu hawa , zaidi ni chuki na kuchukia kipaji chakoUnachoshindwa kwenda sasa hivi kwa balozi kuripoti ni nini??
Nenda sasa... I dare you.!
Big up sana The Bold achana na huyo mcuba Bruce Lee, kama ameguswa aanzishe Uzi wake mwenyewe popote apendapo... Ila ni kawaida kupata challenges kwenye kila jambo, usirudi nyuma mkuu...ati "..The Bold koma kabisa.."
Listen guys... got no time kutukanana na watu humu mitandaoni.. Hatujuani that's why namuheshimu kila mtu na huwezi kunikuta nimetukana hata siku moja huu Mwaka wa nne niko JF..
Kulikuwa na uwezo wa kuwasilisha hoja zake kwa lugha ya staha tu tukajadili, kwa kusahihisha au kujazia nyama pale anapihisi pamepwaya.. Kulikuwa na umuhimu gani wa kutumia lugha ya kuudhi??
Let's do this..
Huyo ameishi Cuba toka utotoni, mimi hata Chalinze sijawahi kufika..
Huyo anamujua Castro inside out, mimi hata jina simjui..
Huyo ni msomi wa dar'ja la juu, mimi nimeishia la saba.!!
Problem solved.!! Let's move on with life.
Mbarikiwe sana..
Mikwara hii ni ile ya old school, nasikia enzi hilo kila mtu usalama wa Taifa, sijui nani vile... Daaah, The Bold twende kazi mkuumwabie tena aandike uongo wake na habari za kuchafuana halafu uone, kwa kifupi msifikiri kila mtu anapenda habari za kizushi na uongo wa kujifanya mjuaji wa mambo kumbe hakuna lolote....
Pamoja sana Mkuu.. Nondo zinaendelea kushuka kama kawaida!!Mikwara hii ni ile ya old school, nasikia enzi hilo kila mtu usalama wa Taifa, sijui nani vile... Daaah, The Bold twende kazi mkuu
Sikuwezagi babaUnachoshindwa kwenda sasa hivi kwa balozi kuripoti ni nini??
Nenda sasa... I dare you.!
Pamoja sana Mkuu.. Nondo zinaendelea kushuka kama kawaida!!
Mbele daima, kurudi nyuma mwiko..
ACHA MIKWARA YA KITOTO. KAKOJOE ULALE HUKO. USITUWEKEE USIKU SISI.wewe unaemjaza ujinga hujui kama tukiamua kua serious huyu the bold anaweza akaingia kwenye matatizo makubwa sana ni rahisi sana kutafsiri habari yake kwa lugha ya cuba na kumpatia balozi wa cuba tanzania pia kumfungulia kesi na kumuomba atoe ushahidi wa maelezo yake kua Mzee Castro alishiriki katika biashara ya mihadarati, naomba muwe makini najua wengi wenu hamjui castro kaifanyia mangapi nchi yetu pamoja na afrika kwa ujumla nashauri tusitumie vibaya huu uhuru wa mitandao.
fidel castro alikuwa mbwia unga na teja mkubwaandika uongo mwingine wa kumzushia castro na madawa ya kulevya... just do it bro....
Huyu jamaa ana akili za ki-hamorapaSikuwezagi baba
Huyu ndo The bold wangu mimi
ACHA MIKWARA YA KITOTO. KAKOJOE ULALE HUKO. USITUWEKEE USIKU SISI.
Ajabu sana huyu mwenzetu anavyomuongelea Castro kama nabii Fulani aliyeshushwa..fidel castro alikuwa mbwia unga na teja mkubwa
Harmorapa anajiita role model wa Harmonize.Huyu jamaa ana akili za ki-hamorapa
Jamaa alidhani utamuangukia
Eti atawasiliana na balozi wa Cuba