dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 615
Wakuu msaada tafadhali,
Juzi nilikuwa nafanya service ya gari yangu. Baada ya kumwaga oili fundi akasema ngoja asafishe plag. Ile amerudishia akaniambia niwashe gari ikae silence kidogo.
Baada kama dakika moja ulisikika mlio mkubwa sana kwenye tundu moja la plug. Sasa kurudishia tena plug haifungi tena.
Sasa wakuu nini hiki na nitatumia njia gani plag ifunge vizuri?
Juzi nilikuwa nafanya service ya gari yangu. Baada ya kumwaga oili fundi akasema ngoja asafishe plag. Ile amerudishia akaniambia niwashe gari ikae silence kidogo.
Baada kama dakika moja ulisikika mlio mkubwa sana kwenye tundu moja la plug. Sasa kurudishia tena plug haifungi tena.
Sasa wakuu nini hiki na nitatumia njia gani plag ifunge vizuri?