johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,834
- Thread starter
- #41
Yuko vizuri!Huyu babu huwa namkubali sana
Yuko vizuri!Huyu babu huwa namkubali sana
Huo ni mtazamo wakoHili ni dongo kwa Mr. Zuzu.
Hata slow slow SI yupo vizuri?Yuko vizuri!
CCM ina hazina ya viongozi bwashee tofauti na Ufipa!Hata slow slow SI yupo vizuri?
Jabari la sheria wapi? Hawa ndio wanafiki kupitiliza. Walikuwepo madarakani. Hakuna hata kupigania kutuletea katiba mpya,mbwa hawa wakafie mbele huko.Watamtukana hao! Pole sana Mzee Msekwa former UDSM VC, Msanifu Mkuu 1977 Constitution, former Speaker of the National Assembly. Halafu kuna mazuzu yatabishana na jabali la sheria na siasa kama hili! Ila ndio hivyo CCM wana ndimi elfu kidogo.
Mbona anasema sasa
Inamaana sahv ndiyo anaona
Ova
Achana na huyo kifaduro mlamba viatuKwani wapi umeona nimesema ulaya na Marekani?
Sana sema uzee umeishaingia. Hivyo, hana mikikimikiki ya kisiasa. Wanaomlaumu hawamjui vizuriYuko vizuri!
Kama huyu?Achana na huyo kifaduro mlamba viatu
Ccm ni adui nambari 1 hapa TanzaniaMihimili mitatu yaani serikali, bunge na mahakama viwe na uhuru wa kufanya kazi kikatiba bila kuingiliwa na muhimili mwingine wao ndio wa kwanza kukataa leo wanalia nini wamezoea maelekezo waendelee tu
Wanaishia kupiga mihayo tuHujaona JPM alikua anadekeza sana hawa wazee wake, unadhani kifo cha jpm wao hawajapagawa na kuchanganyikiwa? Zile ndoo za sato fresh za kuja na ndege hakuna tena wapo wapo tu
Chama Cha MajuhaCCM ina hazina ya viongozi bwashee tofauti na Ufipa!