Pius Msekwa: Haki ya mtu inaweza kudhulumiwa hata Mahakamani, kuna watu wameumbwa na dhulma

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,779
141,667
Spika mstaafu mzee Pius Msekwa amesema kuna watu wana tabia ya kupenda kuumiza na kudhulumu watu wengine, hata mahakamani haki ya mtu inaweza kudhulumiwa kwani kuna watu wameumbwa na dhulma, na hii si sawa.

Mzee Msekwa anasema kimsingi katika bunge la vyama vingi panapaswa kuwepo KUB na Baraza kivuli la Mawaziri, ndipo bunge hilo linakuwa limekamilika.

Chanzo: ITV

Kipindi rasmi kitarushwa Jumatatu Dakika 45
 
Spika mstaafu mzee Pius Msekwa amesema kuna watu wana tabia ya kupenda kuumiza na kudhulumu watu wengine, hata mahakamani haki ya mtu inaweza kudhulumiwa kwani kuna watu wameumbwa na dhulma, na hii si sawa.

Mzee Msekwa anasema kimsingi katika bunge la vyama vingi panapaswa kuwepo KUB na Baraza kivuli la Mawaziri, ndipo bunge hilo linakuwa limekamilika.

Chanzo: ITV

Kipindi rasmi kitarushwa Jumatatu Dakika 45
Ulikuwa na nia ya kumaanisha kitu gani labda?
 
Spika mstaafu mzee Pius Msekwa amesema kuna watu wana tabia ya kupenda kuumiza na kudhulumu watu wengine, hata mahakamani haki ya mtu inaweza kudhulumiwa kwani kuna watu wameumbwa na dhulma, na hii si sawa.

Mzee Msekwa anasema kimsingi katika bunge la vyama vingi panapaswa kuwepo KUB na Baraza kivuli la Mawaziri, ndipo bunge hilo linakuwa limekamilika.

Chanzo: ITV

Kipindi rasmi kitarushwa Jumatatu Dakika 45

Leo tena dishi liko timamu. Unapatikana bila Chenga 😁😁.

Habari mbaya sana hii kwa wale wachawi wetu:

IMG_20211016_132442_593.jpg
 
Spika mstaafu mzee Pius Msekwa amesema kuna watu wana tabia ya kupenda kuumiza na kudhulumu watu wengine, hata mahakamani haki ya mtu inaweza kudhulumiwa kwani kuna watu wameumbwa na dhulma, na hii si sawa.

Mzee Msekwa anasema kimsingi katika bunge la vyama vingi panapaswa kuwepo KUB na Baraza kivuli la Mawaziri, ndipo bunge hilo linakuwa limekamilika.

Chanzo: ITV

Kipindi rasmi kitarushwa Jumatatu Dakika 45
Huyu mzee ni wa kutukana, lkn namstahi kidogo. He has always been quiet all this time when human rights violations by his party is at its peak. Leo anasema nini, nani amsikilize? amewahi kukemea? wale wale wa matumbo yao na familia zao! Magufuli amevunja haki Za binadamu to the highest level, he muted for 5 solid yrs, leo anabwabwaja!
 
Na huyo KUB apatikane kwa kura za wananchi kupitia wingi wa wabunge alionao bungeni kwa chama chake, sio KUB wa kutengenezwa na watawala.

Hawa wazee umri unaenda naona wanaanza kutubu taratibu, kumbe wakiwa wanafanya mambo ya hovyo ili kukilinda chama chao hujua wanakosea ila matumbo yao huzitawala akili zao.
 
Watamtukana hao! Pole sana Mzee Msekwa former UDSM VC, Msanifu Mkuu 1977 Constitution, former Speaker of the National Assembly. Halafu kuna mazuzu yatabishana na jabali la sheria na siasa kama hili! Ila ndio hivyo CCM wana ndimi elfu kidogo.
Kama ni msanifu mkuu of katiba ana mzigo pia maana sote tunajua Kinachoendelea
 
Spika mstaafu mzee Pius Msekwa amesema kuna watu wana tabia ya kupenda kuumiza na kudhulumu watu wengine, hata mahakamani haki ya mtu inaweza kudhulumiwa kwani kuna watu wameumbwa na dhulma, na hii si sawa.

Mzee Msekwa anasema kimsingi katika bunge la vyama vingi panapaswa kuwepo KUB na Baraza kivuli la Mawaziri, ndipo bunge hilo linakuwa limekamilika.

Chanzo: ITV

Kipindi rasmi kitarushwa Jumatatu Dakika 45

Naona akili zimeanza kuwalejea kidogo kidogo, muda utaongea acha tusubiri
 
Back
Top Bottom