Pius Msekwa amkatia simu Mwandishi wa Habari baada ya kumbana kuhusu Katiba

Watu hawajui kwamba hiyo katiba ya 1977 ni huyo huyo Msekwa ndiye mtunzi.
Kweli kabisa.

Lakini si ndiye angetoa ufafanuzi kwa nini ilihitajika iwe hivyo kwa wakati huo, na kwamba sasa inahitajika nyingine kufuatana na hali iliyopo?

Watu kama huyu ndio wangesimama mbele bila ya woga wowote kusimamia maslahi ya nchi hii, badala ya maslahi ya kikundi cha walafi waliopo CCM.
CCM hii iliyopo, siyo CCM iliyokuwa inapigania maslahi ya wananchi wa Tanzania kama waliyokuwa wakiiongoza wao. Kukaa kimya kwa uoga ni kusaliti nchi waliyotaka kuijenga wao. Mwalimu Nyerere asingesita kuwaaibisha hawa mafisi waliopo sasa hivi ndani ya chama hicho.

Kwani anaogopa nini, watamnyima mafao yake?
 
Hahahahahaha Babu Msekwa KASTUKA LOL!!!
Mama Makinda na Ndugai walim maindi Msekwa alivyokipaka kuhusu wanawake wa CHADEMA walivyoingizwa bungeni kimagumashi…. Walimpiga biti kali

Lakini BAK, inakuaje mtu kama Msekwa amuogope Makinda, Ndugai na Samia?

Msekwa was writting the TANU constitution in 1954, Samia was born in 1960, she got nothing on you in political annals of this country , unamwoga ogopaje ????????
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kasirika tu ila nikuulize BAK, Nchi ipo pale, pale wewe umefanya nn kuinasua?

Maoni yake uyapendayo kuyasikia inawezekana kayatoa humu JF na fake id kama wengine.

Watu wanapenda mteremko kweli, wengine watake risk, wao waje wasifie humu na fake Id wakishushia ugali tembele nyumbani na wapenzi wao.

Mzee pumzika na kapension kako usitake vita na mamlaka ili upewe sifa za ujasiri na cowards vijana wasioweza hata kukupongeza hadharani na identity zao.

Mkuu vyema umewaambia. Jazba zipungue. Msekwa ni mmoja wa waliounda na kuuneemesha mfumo wa kidikteta unaotawala nchi hii. Anaujua vizuri sana. He is not naive. Akitoa maoni sahihi kuhusu katiba anajua rungu litakalomshukia na athari zake hadi “kizazi cha nne”!

Katika umri ule, kwa faida ya nani? Hawa Watanzania wasio na uelewa wala ujasiri wa kupambania maslahi na haki zao? Wasiojua tofauti ya serikali na nchi? Wanaojua uzalendo ni kuabudu na kutukuza watawala? Wanaowageuka mashujaa wao kwa vipande vya fedha na vyeo uchwara?

Aendelee kujieleza kupitia ID fake kama sisi wengine kama anayo; lakini si kwa jina lake halisi.
 
Mkuu vyema umewaambia. Jazba zipungue. Msekwa ni mmoja wa waliounda na kuuneemesha mfumo wa kidikteta unaotawala nchi hii. Anaujua vizuri sana. He is not naive. Akitoa maoni sahihi kuhusu katiba anajua rungu litakalomshukia na athari zake hadi “kizazi cha nne”!

Katika umri ule, kwa faida ya nani? Hawa Watanzania wasio na uelewa wala ujasiri wa kupambania maslahi na haki zao? Wasiojua tofauti ya serikali na nchi? Wanaojua uzalendo ni kuabudu na kutukuza watawala? Wanaowageuka mashujaa wao kwa vipande vya fedha na vyeo uchwara?

Aendelee kujieleza kupitia ID fake kama sisi wengine kama anayo; lakini si kwa jina lake halisi.
Mm huwa nawaambia wapinzani, wafanye upinzani wenye maslahi kwao na familia zao maana kwa sasa vijana wa nchi hawapo tayari kung'oka hata ukucha kupigania imani za kisiasa au mapinduzi ya utawala wa nchi. Wanataka mapinduzi kupitia social media tu kisha waitwe mashujaa.

Ukiona kuna aliyetoka hata kuandamana na kuumia huyo hakujua yajayo alidanganyika tu na mihemko ya kisiasa. Hakujua kuwa anaenda vitani au alijua lakini hakuvihamu vita vya aina ile vinafananaje akajipeleka kama mwanakondoo akakutana na wenye njaa ya vita akawapa wenzake topic huko mtandaoni.
 
Mh! Nadhani umepiga mule mule kuhusu kuzodolewa na Makinda kuhusu issue ya Wabunge haramu 19 waliofukuzwa Chadema.
Woga Mkuu unahusu maamuzi ya kidikteta kwamba anaweza kuitwa kuhojiwa kwa kauli yake kama Serikali na maccm hawataipenda pia inaweza kusababisha mafao yake kama mstaafu kusimamishwa kwa muda au kwa maisha yake yote yaliyobaki.

Mama Makinda na Ngugai walim maindi alivyokipaka kuhusu wanawake wa CHADEMA walivyoingizwa bungeni kimagumashi…. Walimpiga biti

Lakini BAK, inakuaje mtu kama Msekwa amuogope Makinda, Mdugai na Samia?

Msekwa was writting the TANU constitution in 1954, Samia kazaliwa 1960, she got nothing on you in political annals of this country , unamwoga ogopaje ????????
 
Mm sina tatizo na mzee kabisa,🤣 anaeleweka.

Ila kuna mtu na fake id mpaka fake email humu anatafuna ugali sa hizi huku anaandika mhhhh wazee hovyo sana hawa, waoga waoga, yam yam yam..... matonge yanashuka tu.
Ni kweli ni wazee wa hovyo kwani wana nyashifa na dhamana kubwa kwa nchi hii Wao ndio wanatakiwa watoe mwelekeo wa nchi.
Sasa kama wenye dhamana kubwa na waliotumikia nchi wanaogopa sisi wengine itakuwaje?
 


Mama Makinda na Ngugai walim maindi alivyokipaka kuhusu wanawake wa CHADEMA walivyoingizwa bungeni kimagumashi…. Walimpiga biti

Lakini BAK, inakuaje mtu kama Msekwa amuogope Makinda, Mdugai na Samia?

Msekwa was writting the TANU constitution in 1954, Samia kazaliwa 1960, she got nothing on you in political annals of this country , unamwoga ogopaje ????????
 
Ni kweli ni wazee wa hovyo kwani wana nyashifa na dhamana kubwa kwa nchi hii Wao ndio wanatakiwa watoe mwelekeo wa nchi.
Sasa kama wenye dhamana kubwa na waliotumikia nchi wanaogopa sisi wengine itakuwaje?
Hakuna mwenye dhamana ya kuhakikisha ww unaishi maisha yenye mwelekeo bora. Hizo ni siasa tu ili binadamu tusikatane mapanga tukaisha wote.

Mwelekeo wa nchi unaenda sambamba na maslahi ya utawala. Mwananchi kazi yake ni kuangalia kama huo mwelekeo na yeye unamnufaisha hata kama mtawala ananufaika zaidi.

Kama unaona huutaki huo mwelekeo, au hauna maslahi kwako, ni jukumu lako kupanda juu, kuwaondoa usiowataka au kuwashurutisha wafuate mwelekeo wenye maslahi kwako na vizazi vyako.

Kinyume na hapo fuata mwelekeo uliowekwa.
 
Mm huwa nawaambia wapinzani, wafanye upinzani wenye maslahi kwao na familia zao maana kwa sasa vijana wa nchi hawapo tayari kung'oka hata ukucha kupigania imani za kisiasa au mapinduzi ya utawala wa nchi. Wanataka mapinduzi kupitia social media tu kisha waitwe mashujaa.

Ukiona kuna aliyetoka hata kuandamana na kuumia huyo hakujua yajayo alidanganyika tu na mihemko ya kisiasa. Hakujua kuwa anaenda vitani au alijua lakini hakuvihamu vita vya aina ile vinafananaje akajipeleka kama mwanakondoo akakutana na wenye njaa ya vita akawapa wenzake topic huko mtandaoni.
Pointi yako bado husomeki.
 
Hakuna mwenye dhamana ya kuhakikisha ww unaishi maisha yenye mwelekeo bora. Hizo ni siasa tu ili binadamu tusikatane mapanga tukaisha wote.

Mwelekeo wa nchi unaenda sambamba na maslahi ya utawala.

Kama unaona huutaki huo mwelekeo, au hauna maslahi kwako, ni jukumu lako kupanda juu, kuwaondoa usiowataka au kuwashurutisha wafuate unachokitaka.

Kinyume na hapo fuata mwelekeo uliowekwa.
Lumumba fc😅😅😅
 
Kumbe hii rasimu ya katiba mpya hatua iliyobaki ni referendum.....kwani kupiga kura ya maoni kunakwamisha vipi mtu kujenga uchumi....
 
... huyu Msekwa muacheni tu! ... aliwaacha akina Mzee Kinana na Makamba wadhalilishwe na mvunja sheria wa waziwazi, Musiba, akijitetea kwamba yeye na baraza la wastaafu wenzie wanapumzika! TOO SELFISH!
 
Mwalimu Nyerere asingesita kuwaaibisha hawa mafisi waliopo sasa hivi ndani ya chama hicho.


Huyo Mwalimu nyerere ndiye aliyeleta balaa lote hili kwani katiba hii ilitungwa ili kumlinda yeye katika utawala wake na kuna kipindi yeye mwenyewe aliwahi kusema; "kwa katiba hii ilivyo anaweza kuwa dikteta"---- maneno hayo yanaonyesha jinsi hata yeye alivyouona ubaya wa katiba hii na alikuwa na nafasi ya kusukuma iandikwe upya hata kabla hajang'atuka ili kuinusuru nchi endapo angeingia madarakani kiongozi mbaya licha ya kwamba hata yeye kiasi fulani alikuwa ni dikteta.

Msekwa alitumiwa na Nyerere kuandika katiba iliyombeba.
 
... huyu Msekwa muacheni tu! ... aliwaacha akina Mzee Kinana na Makamba wadhalilishwe na mvunja sheria wa waziwazi, Musiba, akijitetea kwamba yeye na baraza la wastaafu wenzie wanapumzika! TOO SELFISH!
Hii ndio aina ya watanzania na waafrika wengi walioko madarakani wanakula kuku kwa Mlija. They never care apart from their stomach
 
ID za kulipwa
Umeshiba, Hapo lolote linazungumzika ili kesho ifike. Wewe umeipigania katiba kwa mtindo upi tangu isimame? 5years za JPM kuna ulilofanya hata hapo mtaani tu kuamsha mchakato uendelee?🙂

Hii nchi tuombe sana kusitokee vita jeshi likahitaji huduma ya dharura ya nguvukazi maana vijana wetu nyinyi🤣🤣🤣 na hizi social media hizi sijui. Labda huko vijijini.
 
Back
Top Bottom