Pitia hapa huenda utanikumbuka

Mkuu huu ndo ukweli unaotutesa. Binafsi nimeamua mwaka huu wa 2017 kuanzia January ya leo naingia mtaani kwa asilimia 100. Nimekuwa muajiriwa kwa miaka 3 sasa ila nimeona huko niendako ni giza zaidi. Nitakuja hapa December kwa neema ya Mungu kushuhudia yale nitakayokuwa nimekutana nayo.
Ukweli ni kwamba huwezi kuuza muda ukawa tajiri, mwenye nafasi ya kuwa matajiri au mafanikio makubwa kiuchumi ni yule tu, anae nunua muda. maana yake kuuza muda ni kuajiriwa na kununua muda ni kujiajiri au kuajiri. Hivyo hakikisha unakuwa salama kuwa mnunuzi wa muda wako kabla haujanunuliwa na mtu mwingine.
 
Mkuu huu ndo ukweli unaotutesa. Binafsi nimeamua mwaka huu wa 2017 kuanzia January ya leo naingia mtaani kwa asilimia 100. Nimekuwa muajiriwa kwa miaka 3 sasa ila nimeona huko niendako ni giza zaidi. Nitakuja hapa December kwa neema ya Mungu kushuhudia yale nitakayokuwa nimekutana nayo.

All the best ktk hili
 
Du! Kweli mkuu wasomi wengi walipoteza muda kule mashuleni kutafta utajiri Wa vyeti na wasio soma walitumia muda mwigi kutafuta pesa na utajiri wa mali na kibaya zaidi wasomi walio wengi ni wavivu mnoo at a kuuuza nyanya tu kipndi cha jioni wanaona aibu ndio chanzo cha umaskkni
 
Hahahahah siri ya pesa anaijua mwenye nayo , km unabishi mbona wewe na hata huyo tajiri mnahangaika kuwapeleka watoto wenu elimu za juu , do you know who owns the world money?? Kuna mambo wanafanya wasio na elimu ambayo educated can't do
Kupeleka watoto shule ni ili tu waweze kua na rugha ya kukubalika akija mtaani,asaini karatasi,aandike risiti na kuongea rugha ya kigeni akisafili kibiashara,watoto wangu wakiwa wanasoma nitahakikisha wanasoma kwa namna mbili,elimu ya darasani na elimu ya mtaani ya kusaka noti,na yamkini wakaishia kidato cha sita tu basi.au kidato cha 4
 
Kupeleka watoto shule ni ili tu waweze kua na rugha ya kukubalika akija mtaani,asaini karatasi,aandike risiti na kuongea rugha ya kigeni akisafili kibiashara,watoto wangu wakiwa wanasoma nitahakikisha wanasoma kwa namna mbili,elimu ya darasani na elimu ya mtaani ya kusaka noti,na yamkini wakaishia kidato cha sita tu basi.au kidato cha 4
Hapana, hakikisha wamemaliza college.
 
MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI

✍Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa.

Katika miji na maeneo yote; wenye majengo ya maana, wenye makampuni makubwa, wenye utitiri wa malori na mabasi, wenye maduka makubwa ni wale wa "darasa la saba” au wale ambao hawakuingia darasani kabisa

Wasomi wengi wana maisha ya kawaida yaani yale ya kiwango cha kubadilisha mboga, wakijitahidi sana wanaishia kujenga nyumba za kuishi na magari mawili ya kutembelea (tena kwa mikopo!)

Wapo wasomi wengi tu wanaoishi kimasikini, kwa lugha ya kistaarabu tunasema wana maisha ya kuungaunga. Kiukweli idadi ya wasomi walio matajiri ni ndogo sana

Lakini Umasikini wa wasomi wengi umeanzia huko shuleni na vyuoni wanakopatia usomi wao. Madarasani kuna mambo mawili wanafundishwa wasomi ambayo ndio yanayowaroga

Hii inachangiwa na mambo mawili:-

I. Wameelimishwa na kuaminishwa kwamba yule anaepata maswali yote kwa usahihi ndio anaonekana amefaulu. Ukikosea unahesabika kuwa u mjinga na wenyewe wanaita umefeli

Hata hivyo katika maisha ya kawaida hasa kwenye mchakato wa kutafuta hela, kujaribu na kukosea ni sehemu ya mafanikio

Kadiri unavyojaribu na kukosea mara nyingi ndivyo unavyojifunza na ndivyo nafasi ya kutajirika kwako inakuwa kubwa!

Wasomi wengi kwa sababu ya "mentality" ya kuogopa kukosea huwa hawapendi kujaribu biashara kwa hofu ya kushindwa kuiendesha, na huamua kufa kimasikini wakitegemea mishahara pekee kwa sababu mishahara ndio pato lao la uhakika

II. Madarasani kunahimizwa ubinafsi badala ya umoja. Angalia namna mitihani inavyofanyika. Kila mwanafunzi anafanya mtihani peke yake, na ukikutwa unaangalizia ama mnasaidiana na mwenzio ndani ya chumba cha mtihani mtapata adhabu kali ikiwemo kufutiwa mtihani!

Katika maisha ya kawaida hasa ya kusaka fedha, unahitajika ushirikiano mkubwa sana, baina yako na wadau, wateja, wafanyakazi wenzio, marafiki n.k. Kwa kifupi unatakiwa kuwa na Networking ya kutosha.

Huwezi kufika mbali kiuchumi kama utakuwa na "mentality" ya ubinafsi unaosisitizwa madarasani!

Simaanishi kusoma hakuna maana, isipokuwa ninakwambia: Kama ukipata nafasi ya kusoma, soma kwa bidii; lakini usibebe kila wanachokulisha madarasani; ukakileta huku mtaani

Mtaani panahitaji akili ambayo ni tofauti na hiyo iliyopimwa kupitia kukariri ya vitabuni, mwishoni wanakuzawadia makaratasi yaitwayo vyeti

Ukitaka kufanikiwa ungana na waliofanikiwa wakuelekeze

Hii habari haitaki hasira, vumilia tu na jiongeze
....hata mimi sijawa tajiri bado
Mkuu ungekuwa karibu ningekununulia hata sayona ya jero,
 
Hapana, hakikisha wamemaliza college.
Watapoteza muda bule na kutumia pesa ambayo inaweza kua ni mtaji wa kuzalisha + muda watakaotumia ni asala mkuu,nimeshajifunza mengi huku mtaani baada ya kutoka kwenye box la kuajiliwa!
 
Watapoteza muda bule na kutumia pesa ambayo inaweza kua ni mtaji wa kuzalisha + muda watakaotumia ni asala mkuu,nimeshajifunza mengi huku mtaani baada ya kutoka kwenye box la kuajiliwa!
Nimesema hivyo ili uwazeshe kupata maarifa in deep. Mimi binafsi wangu nimejipanga kuwasomesha mpaka Chuo Kikuu. Kisha nawapa mtaji plus skills ambazo nitawapa na field watakwenda kwenye kazi zangu binafsi, kisha nawarelease wakajitegemee kwa kuzalisha na kujiari, sio waajiriwe
 
ukiweza kuorganize hiyo formal education na kuiweka katika matumizi yaani ukaitumia katika kufanikiwa kimaisha kwa mfano kutimiza malengo yako ya kuwa tajiri, unaweza kuwa tajiri
 
Utakuta msomi anajivuna kumiliki kitabu cha :-
HOW TO BE A REACH MAN
HOW TO GET MONEY EASY
HOW TO BE SUCCESFULL
HOW TO ESCAPE POVERTY
Na majitabu mengine kibao....!!!!! Wakati ki uchumi anamiliki house girl tu nyumbani alikopanga.
umenichekesha sana ingawa me mwenyewe ni msomi, sasa hivi mambo ya darasani nimeshayapotezea kitambo
 
MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI

✍Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa.

Katika miji na maeneo yote; wenye majengo ya maana, wenye makampuni makubwa, wenye utitiri wa malori na mabasi, wenye maduka makubwa ni wale wa "darasa la saba” au wale ambao hawakuingia darasani kabisa

Wasomi wengi wana maisha ya kawaida yaani yale ya kiwango cha kubadilisha mboga, wakijitahidi sana wanaishia kujenga nyumba za kuishi na magari mawili ya kutembelea (tena kwa mikopo!)

Wapo wasomi wengi tu wanaoishi kimasikini, kwa lugha ya kistaarabu tunasema wana maisha ya kuungaunga. Kiukweli idadi ya wasomi walio matajiri ni ndogo sana

Lakini Umasikini wa wasomi wengi umeanzia huko shuleni na vyuoni wanakopatia usomi wao. Madarasani kuna mambo mawili wanafundishwa wasomi ambayo ndio yanayowaroga

Hii inachangiwa na mambo mawili:-

I. Wameelimishwa na kuaminishwa kwamba yule anaepata maswali yote kwa usahihi ndio anaonekana amefaulu. Ukikosea unahesabika kuwa u mjinga na wenyewe wanaita umefeli

Hata hivyo katika maisha ya kawaida hasa kwenye mchakato wa kutafuta hela, kujaribu na kukosea ni sehemu ya mafanikio

Kadiri unavyojaribu na kukosea mara nyingi ndivyo unavyojifunza na ndivyo nafasi ya kutajirika kwako inakuwa kubwa!

Wasomi wengi kwa sababu ya "mentality" ya kuogopa kukosea huwa hawapendi kujaribu biashara kwa hofu ya kushindwa kuiendesha, na huamua kufa kimasikini wakitegemea mishahara pekee kwa sababu mishahara ndio pato lao la uhakika

II. Madarasani kunahimizwa ubinafsi badala ya umoja. Angalia namna mitihani inavyofanyika. Kila mwanafunzi anafanya mtihani peke yake, na ukikutwa unaangalizia ama mnasaidiana na mwenzio ndani ya chumba cha mtihani mtapata adhabu kali ikiwemo kufutiwa mtihani!

Katika maisha ya kawaida hasa ya kusaka fedha, unahitajika ushirikiano mkubwa sana, baina yako na wadau, wateja, wafanyakazi wenzio, marafiki n.k. Kwa kifupi unatakiwa kuwa na Networking ya kutosha.

Huwezi kufika mbali kiuchumi kama utakuwa na "mentality" ya ubinafsi unaosisitizwa madarasani!

Simaanishi kusoma hakuna maana, isipokuwa ninakwambia: Kama ukipata nafasi ya kusoma, soma kwa bidii; lakini usibebe kila wanachokulisha madarasani; ukakileta huku mtaani

Mtaani panahitaji akili ambayo ni tofauti na hiyo iliyopimwa kupitia kukariri ya vitabuni, mwishoni wanakuzawadia makaratasi yaitwayo vyeti

Ukitaka kufanikiwa ungana na waliofanikiwa wakuelekeze

Hii habari haitaki hasira, vumilia tu na jiongeze
....hata mimi sijawa tajiri bado
Nimekuelewa sana mkuu, sema mwishoni umenichekesha kuwa hata ww hijawa tajiri itakuwa ulipoteza muda mwingi darasani kama mm
 
Ila mi mtaani kwetu wote niliosoma nao na wakaishia lasaba, hawana kitu na wameshazeeka tayari kwa jinsi maisha yanavowawia magumu, nashukuru kwa elimu Yangu hii hii imenifanya niwe MTU kati ya watu
 
Back
Top Bottom