las Casas
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 575
- 711
Wakuu natarajia kuwa na safari ya Kampala mwanzoni mwa mwezi wa kumi na mbili . Lengo la safari hii ni kuangalia mazingira ya biashara kwa ujumla ikijumuisha gharama za vitu, usafiri, accommodation pamoja ushuru na taratibu za border. Ni muda mrefu sijaenda huko. Kama utakuwa unataka kujua lolote karibu.[HASHTAG]#Mrmitumba[/HASHTAG]