Pirates In Indian Ocean: Seizing armory ship, oil tanker, etc & ransom demands

Hawa jamaa nasoma kuwaelewa lakini wapi! Yaani wanapata wapi Mafuta ya ku-propel fast moving engines that far offshore? Engine yenye horse power 75 inakula litre 200 kati ya Zanzibar and Dar kwa mwendo wa kawaida. Sasa hawa jamaa wanakuwa na litre ngapi huko baharini kwa umbali huo? Je wanabebaje? Je, huo uharamia wao wanatutia satellite ku-track ships au wanabahatisha? This is very strange!

Kwa kweli hata sijapata picha yenyewe. tafadhali mwenye kujua atuelezee kwa data.

Mkuu,inaonekana hawa maharamia wanajua vizuri hiyo kazi yao,kumbuka katika historia haya mambo ya uharamia yalianza muda mrefu,haswa sehemu hizo za Pwani zenye Uchumi na serikali dhaifu,watu wengi wanaishi kwa uharifu baharini haswa hapo Ghuba ya Aden.Ambapo panapita luxury Boats na meli nyingi zenye shehena ghali (expensive).

Kwa mujibu wa takwimu kutoka News week magazine (Toleo la Dec'1) kwa mwaka huu wa 2008 kumekuwa na matukio 95 ya uharamia huo ambapo kuna jumla ya crews 300 wameshikiliwa na maharamia katika mji wa Eyl kaskazini mwa Mogadishu,na kwa kipindi hichi cha mwaka mmoja tu hao maharamia wamekwishalipwa jumla ya $30mil ili kuachia mateka na Meli walizoteka.Maharamia hao hawana rekodi ya kuua mateka wao.

Pirates hao wanakimbilia kusini baada ya eneo zima la Ghuba ya Aden kuzidishiwa Patrol baada ya kuteka meli kubwa ya mafuta ya Saudia iliyojulikana kwa jina la Sirius Star katikati ya Novemba,Meli hiyo kubwa kuliko zote kuwahi kutekwa ilikuwa imebeba Mafuta ghafi yenye thamani ya $100mil, Meli hiyo ilipelekwa kwenye mji wa Harardhere ambao nao upo kaskazini mwa Mogadishu.

Baada ya tukio hilo Nchi za Djibouti,Egypt,Sudan,Jordan na Saudia zilikutana na kukubaliana kufanya Patrol ya pamoja katika Gulf hiyo,pia kuna meli za Patrol kutoka Russia na US kusindikiza Meli zao za mizigo,hali hiyo imewafanya Pirates kukimbilia kwenye Pwani za Kenya na Tanzania ambazo bila shaka ulinzi wake ni mdogo.

Imekuwa rahisi kuteka Meli za mizigo kwa sababu kuna sheria ya kutoingia na silaha kwenye Meli za Mizigo na Abiria kama ilivyo kwenye Ndege,nafikiri kwa kuongezeka vitendo vya uharamia,kutarekebishwa baadhi ya sheria za usafiri wa meli ili kuwapa uwezo wa kujihami crews na abiria wa meli hizo.

Ukiacha Somalia, Nigeria na Indonesia ni nchi nyingine zinazoongoza kwa uharamia Baharini.
 
Ni kweli kwamba Jana Usiku (Jumamosi),Meli ya ki-dutch ilishambuliwa na Pirates umbali wa Miles zisizozidi 450 kaskazini ya pwani ya Dar-es-salaam,Kwa mujibu wa Taarifa zilizopatikana Makao makuu ya Jeshi (JWTZ),Wavamiaji hao (Pirates) walikuwa katika maboti madogo manne,na walitumia silaha nzito kama Hand Grenade na AK-47.

Waziri wa Ulinzi ametaarifiwa tukio hilo,na Mkuu wa majeshi amekutana na wasaidizi wake asubuhi ya leo (Jumapili) na kuliagiza Jeshi la maji,kufanya patrol katika eneo zima la Pwani ya Tanzania huku mazungumzo ya pamoja kati ya Jeshi la Tanzania na Kenya yakitarajiwa kufanyika Jumanne kuzungumzia suala zima la Ulinzi wa Pwani hiyo.

Taarifa rasmi kuhusu tukio hilo itatolewa Jumatatu na Wizara ya ulinzi.Taarifa hii sio rasmi lakini imetoka kwa mmoja wa Viongozi ndani ya Wizara ya Ulinzi,kwa kuwa mtoa Taarifa si msemaji wa Wizara jina lake sitoliweka wazi.

Mwawado, asante kwa kutuhabarisha. Kweli hawa jamaa kama tusiposimama kidete wanaweza ingia hata bandarini kwetu. Shime jeshi letu la maji. Natumaini hata hizo meli za kivita tunazo za kuweza kufanya hizo doria.
 
Hawa jamaa nasoma kuwaelewa lakini wapi! Yaani wanapata wapi Mafuta ya ku-propel fast moving engines that far offshore? Engine yenye horse power 75 inakula litre 200 kati ya Zanzibar and Dar kwa mwendo wa kawaida. Sasa hawa jamaa wanakuwa na litre ngapi huko baharini kwa umbali huo? Je wanabebaje? Je, huo uharamia wao wanatutia satellite ku-track ships au wanabahatisha? This is very strange!

Kwa kweli hata sijapata picha yenyewe. tafadhali mwenye kujua atuelezee kwa data.

Mwanjelwa ukifuatia kwa karibu, hawa jamaa network yao ni kubwa mpaka huko Imarati. Mapesa wanayolipwa uyapeleka huko na kuyaingiza kwenye mkondo msafi( money laundering). Mimi naona baraza la usalama lipige kura kuruhusu majeshi ya kigeni kuingia bahari ya Somalia na kuwazuia hawa Marahamia kuingia International waters.

Suala jingine umeuliza kuhusu Mafuta. Hawa jamaa wanatumia meli za wavuvi ( Mothership) kupata logistic support. Kwa hiyo si mameli yote yanayovua yako kwa ajili ya kuvua.
 
Mimi ningefurahi sana wale wababe wa Black Waters wanaofanya kazi za ulinzi kule IRAQ wakapata hii tenda ya kulinda ghuba ya Uajemi na Pwani ya Africa ya Mashariki. Licha ya kwamba wana vifaa vya kazi, pia wana training ya hali ya juu. Most of them are either retired Seal, ama Marines.
 
Mimi ningefurahi sana wale wababe wa Black Waters wanaofanya kazi za ulinzi kule IRAQ wakapata hii tenda ya kulinda ghuba ya Uajemi na Pwani ya Africa ya Mashariki. Licha ya kwamba wana vifaa vya kazi, pia wana training ya hali ya juu. Most of them are either retired Seal, ama Marines.

Kuna baadhi ya mashirika makubwa ya meli yameshawafuata ..tusikilizie tu matokeo.
 
Wabae wa BLACK WATER ndiyo wakina nani hao? Wako wapi?

Mkuu hawa jamaa (Black Water) ni private security company ya Marekani iliyoanzishwa na jamaa waliokuwa wanafanya kazi CIA na sasa wame retire. Hii kampuni kwa sasa hivi ina tenda ya hela nyingi sana ya ku provide ulinzi kwa viongozi wa Serikali ya Iraq na pia balozi wa Marekani aliyeko Iraq na kulinda misafara ya mafuta na supplies nyingine. Black Water wana reputation ya ku hire the best people in the business. Staff wao wengi ni retired Navy Seal na Marines na pia wale waliokuwa kwenye Special Forces kwa hiyo utaona wana advantage ya kuwa na work force ya watu ambao tayari wameshapatiwa mafunzo ya hali ya juu kwenye combat situation. Nafikiri resources za BW zitakuwa utilized vizuri sana katika kuwafagia hawa ma pirates wa kisomali.
 
Blackwater would be stupid to take such a contract. What's the point? Remember Executive Outcomes, the South African private military company? When they started killing Bantus in Sierra Leone and Angola as Blackwater will eventually do with the Somalis, liberals of all types started to whine and complain. Oh, they are taking over, oh they are brutal oh they so and so... It will be the same thing with Blackwater. They will be called racist, murderers and just about every name in the book. They may even get put out of business.
 
Blackwater would be stupid to take such a contract. What's the point? Remember Executive Outcomes, the South African private military company? When they started killing Bantus in Sierra Leone and Angola as Blackwater will eventually do with the Somalis, liberals of all types started to whine and complain. Oh, they are taking over, oh they are brutal oh they so and so... It will be the same thing with Blackwater. They will be called racist, murderers and just about every name in the book. They may even get put out of business.

Tell me what would be different in terms of military operations when monitoring cargo that passes on Indian Ocean from what they are currently doing in Iraq (providing security dignitaries, and security to large shipments of food, construction materials and military equipment to and from Baghdad) against the insurgents? Blackwater is not stupid, they made their fortune in Iraq with a contract from the U.S. government and because their motive is generate a lot of $$$ I don't see them turning down an offer from lets say Saudi Oil tycoons.
 
Tell me what would be different in terms of military operations when monitoring cargo that passes on Indian Ocean from what they are currently doing in Iraq (providing security dignitaries, and security to large shipments of food, construction materials and military equipment to and from Baghdad) against the insurgents? Blackwater is not stupid, they made their fortune in Iraq with a contract from the U.S. government and because their motive is generate a lot of $$$ I don't see them turning down an offer from lets say Saudi Oil tycoons.

The motive of Executive Outcomes was also $$$ and look where it got them. This has disaster written all over it. As soon as liberals start seeing Blackwater dropping some Somali Bantus there will be cries all over the media. They may board the ships to fend off the wannabe pirates, but patroling the Indian Ocean and going after the pirates? That's would be stupid of them. Besides why can't African countries deal with these pirates themselves?
 
The motive of Executive Outcomes was also $$$ and look where it got them. This has disaster written all over it. As soon as liberals start seeing Blackwater dropping some Somali Bantus there will be cries all over the media. They may board the ships to fend off the wannabe pirates, but patroling the Indian Ocean and going after the pirates? That's would be stupid of them. Besides why can't African countries deal with these pirates themselves?

African Countries dont have " resources". and if you talk of african coutries , you are talking of the Kenya and Tanzania( B'se they are the one within the Somalis reach). Either of the two, I bet, they don't have "Detroyer Ships".
 

African Countries dont have " resources". and if you talk of african coutries , you are talking of the Kenya and Tanzania( B'se they are the one within the Somalis reach). Either of the two, I bet, they don't have "Detroyer Ships".

I don't think you need "destroyer ships" to fight the Somali pirates. The governments in those countries are just inept. Plain and simple.
 
I don't think you need "destroyer ships" to fight the Somali pirates. The governments in those countries are just inept. Plain and simple.

I thought Indian navy took them down, what happened....a staged show?
 
Tell me what would be different in terms of military operations when monitoring cargo that passes on Indian Ocean from what they are currently doing in Iraq (providing security dignitaries, and security to large shipments of food, construction materials and military equipment to and from Baghdad) against the insurgents? Blackwater is not stupid, they made their fortune in Iraq with a contract from the U.S. government and because their motive is generate a lot of $$$ I don't see them turning down an offer from lets say Saudi Oil tycoons.

I bet neither Black Water Nor White water can stop them, since they have a window of 10 min from the time they received emergency call to get to that ship.
 
I thought Indian navy took them down, what happened....a staged show?

If they couldn't take out the terrorists coming from Pakistan
within their own waters, unadhani Africa nd'o wataweza?
Ilikua shamra shamra ya stage show hio.Kwa sasa Pakistani, taifa
dogo, linawakera kweli na they better fix their own backyard before
trying to stretch out.
 
Let's face it India and Pakistan have weak armed forces wamebahatika kupata Nuclear imekuwa shida. Unakumbuka wale wanajeshi 50 wa Pakistan waliotendwa Somalia? Hawa pirates dawa sio kuwavizia majini ni kuwafuata uko uko wanakojificha,sitoshangaa hii ikawa ni biashara ya zaidi ya nchi moja.
 
Let's face it India and Pakistan have weak armed forces wamebahatika kupata Nuclear imekuwa shida. Unakumbuka wale wanajeshi 50 wa Pakistan waliotendwa Somalia? Hawa pirates dawa sio kuwavizia majini ni kuwafuata uko uko wanakojificha,sitoshangaa hii ikawa ni biashara ya zaidi ya nchi moja.

If that is the case, then Tanzania na kenya zitaweza kulinda bahari zetu? make kama hawa jamaa wameweza kuattempt 10 times near Dar Es Salaam Coast sijui kama tutasalimika. Sitashangaa wasomali wakichukua yale mameli yaliyo nje ya bandari maeneo ya upande wa Ikulu.

Hivi Jeshi letu la majini lina nyenzo kweli? Kama halina kwa nini tusiuze lile gulf stream la mkapa na kununua Meli ya kutulinda?
 
Watafute Habari za wasomali wenzao, waliokuwa wanasumbuwa wananchi kule monduli (kama sikosei), nini kiliwapata, kisha ndio wataijuwa Bongo kunani...!
 
Back
Top Bottom