Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Tangu lini tukaacha kusaidia anayekandamizwa na kuwa upande wa mkandamizaji? Tunapashwa kuwa upande wa SPLA na sio vinginevyo.
Kama Rais Kikwete anashirikiana na Bashir kuwakandamiza ndugu zetu wa Kusini mwa Sudan, basi anatutaka uadui. Bashir ataishia kwenye jela kama alivyoishia Charles Taylor.
JK asifanye kosa la kutugonganisha na Kenya kwa kuwa upande mmoja na wauaji wa Darfur.
Kama Rais Kikwete anashirikiana na Bashir kuwakandamiza ndugu zetu wa Kusini mwa Sudan, basi anatutaka uadui. Bashir ataishia kwenye jela kama alivyoishia Charles Taylor.
JK asifanye kosa la kutugonganisha na Kenya kwa kuwa upande mmoja na wauaji wa Darfur.