Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Wapenzi wa forum hii,
Sijui hapa ni mahali pake au niulize kwenye forum ya mambo ya biashara. Nimesikia tetesi kuwa serikali inapanga kuzipiga marufuku pipi za vijiti na pipi kifua.
Je hii itakuwa ni haki? Nasikia ni mpango wa tajiri mmoja ili auze cone zake.
This country bwana!
Sijui hapa ni mahali pake au niulize kwenye forum ya mambo ya biashara. Nimesikia tetesi kuwa serikali inapanga kuzipiga marufuku pipi za vijiti na pipi kifua.
Je hii itakuwa ni haki? Nasikia ni mpango wa tajiri mmoja ili auze cone zake.
This country bwana!