Ndugu wana JamiiForums,
Kwa wale ambao mtakuwa hamjaona "Petition" yetu kwenye mtandao; nawaomba mtembelee - www.globalink.org/petitions/tanzania2, mtusaidie kusaini hiyo "Petition". Ni "Petition" ya kupinga matangazo ya sigara Tanzania. Matangazo ya sigara yameshamiri hapa nchini, tofauti na nchi nyingine, hata za wenzetu Afrika Mashariki. Yaelekea kuna mkakati mkubwa wa makampuni ya tumbaku kueneza tumbaku Tanzania kwa nguvu zote, kulingana (au ku-compensate) na wanavyozuiliwa kwenye nchi nyingine. Matangazo haya hulenga vijana, ambao huishia kuwa tegemezi wa tumbaku na mara nyingine kuelekea kwenye madawa makali ya kulevya.
Tafadhali tusaidiane, tuokoe vijana wa Taifa la Tanzania.
Ahsanteni sana.
Lutgard Kokulinda Kagaruki
Executive Director
Tanzania Tobacco Control Forum
Plot 766
Sam Nujoma/Igesa Rd, Opp Kobil Pterol Station
P. O. Box 33105
Dar es Salaam
Tel: +255 732 924088
Fax: +255 22 277 1680
E-mail: info@ttcf.or.tz
Website: www.ttcf.or.tz (under construction)
Kwa wale ambao mtakuwa hamjaona "Petition" yetu kwenye mtandao; nawaomba mtembelee - www.globalink.org/petitions/tanzania2, mtusaidie kusaini hiyo "Petition". Ni "Petition" ya kupinga matangazo ya sigara Tanzania. Matangazo ya sigara yameshamiri hapa nchini, tofauti na nchi nyingine, hata za wenzetu Afrika Mashariki. Yaelekea kuna mkakati mkubwa wa makampuni ya tumbaku kueneza tumbaku Tanzania kwa nguvu zote, kulingana (au ku-compensate) na wanavyozuiliwa kwenye nchi nyingine. Matangazo haya hulenga vijana, ambao huishia kuwa tegemezi wa tumbaku na mara nyingine kuelekea kwenye madawa makali ya kulevya.
Tafadhali tusaidiane, tuokoe vijana wa Taifa la Tanzania.
Ahsanteni sana.
Lutgard Kokulinda Kagaruki
Executive Director
Tanzania Tobacco Control Forum
Plot 766
Sam Nujoma/Igesa Rd, Opp Kobil Pterol Station
P. O. Box 33105
Dar es Salaam
Tel: +255 732 924088
Fax: +255 22 277 1680
E-mail: info@ttcf.or.tz
Website: www.ttcf.or.tz (under construction)