Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,903
- 32,312
- Thread starter
- #201
Kuna kipindi si kirefu watu walitunduka humu picha ya mwanamke mwenye mtoto mdogo ambaye alitelezwa baada ya kuzaa na Kikwete. Habari hiyo mmeifinyangafinyanya hadi kuipotezea mbali. Ingekuwa ni ya kiongozi wa chadema magazeti na vyombo vingine vya habari kurasa zisingetosha. Mama mwenyewe alionekana kuchoka sababu ya kutelekezwa, maana viongozi wengi wa nchi hii wanavutiwa na vimwana wanapowakawaka, wakishaishiwa pouger huwatelekeza na kutowapatia child support.
JF kuna wenye kumbukumbu hizo ipo situ watatundika vitu hivyo tuakisi ukweli
Mkuu kama una ushahidi wa kutosha wasiliana na huyo mama mmepelekeni JK mahakamani kama alivyopelekwa Omar Mahita.