Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,635
- 7,918
Uraia wa tanzania hutokana na wazazi. Siyo tu kwamba umezaliwa Tanzania au kenya basi automatically wewe ni raia. Soma 1995 citizenship act ya Tanzania, pia usome katiba ya kenya.Sheria za Kenya hazituhusu hata punje, sisi tunafuatilia sheria za nchi yetu ambazo zinamtaka mtu aliyezaliwa katika mazingira kama ya sioi kuomba uraia wa Tanzania anapofikisha umri wa miaka 18.
Kwanini aombe wakati yeye siyo raia wa kenya?
Ndio maana ofisa uhamiaji amewaomba wadhibitishe uraia wa kenya ili hivyo vifungu viwe applied to Sioi.
Tuliza boli.... we got this!