Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Nimekuwa nikimsikia Pinda na kauli mbiu yake kuwa yeye ni mtoto wa mkulima na akiwa akifanya vitu ambavyo binafsi naona kama vile mama theresa anavifanya sio mtendaji wa serikali. Pinda ajue watanzania hatuko interested kujua wazazi wa kiongozi ni wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, wafanyakazi n.k tunachotaka kuona ni kiongozi anayetenda kazi na kufanya maamuzi yenye manufaa kwa watu.
Nawakilisha !
Nawakilisha !