Mh.Pinga alikejeli kitendo cha Wabunge wa Chadema kutoka nje wakati Rais akihutubia kwa kusema ni geresha na kuwa wameenda kuangalia kwenye luninga.Mh.Pinda hivi nyumbani kwako ukamuudhi mwanao akasusa vitu fulani hatakama hawezi kukuchukulia hatua yoyote unamdharau au unatafuta muafaka?Mshauri Bosi wako JK akae na Chadema kutatua tatizo au hadi watu wauliwe kama ilivyotakea Zanzibar au Kenya?