Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,722
- 515
Saw it on TV.... PM anaelezwa kiwanda kinatiririsha yanayosadikiwa kuwa na sumu ....ujumbe wake ni kama unamfahamisha kuwa juhudi zao zimekwama ... imagine anaenda kusikikiza hotuba ya wenye kiwanda kisha anazungumzia mchakato wa kumpata mshauri elekezi eti afanye utafiti juu ya sumu iliopo ktk maji na namna ya kutatua tatizo. PM ameambata na maofisa wa NEMC na wadau wengine yet anaonekana hayuko informed. Hopeless kabisa.