Pinda: Nitazungumza baada ya sikukuu

Amekwenda nyumbani katavi kusafisha nyota.Akirudi mambo yote yanayomakabili yatasahaulika.
 
Mwambieni Slaa na Mbowe wajiuzuru kwanza ndio pinda afuate wajinga nyie
Tunaoifahamu kidogo Katiba ya JMT ya sasa hakuna namna WM Pinda anaweza kujiuzulu au hata Rais kutengua uteuzi wake kwani Bunge linakutana tena mwezi May mwakani.

Kuliita Bunge kwa dharura kwa ajili ya Waziri Mkuu mpya ni gharama nyingine za kijinga tu.
 
Huyu Pinda kama ni msafi na mpenda uchapa kazi alipaswa kujiuzulu miaka mitatu iliyopita kama kukaa mbali na utawala ambao unalalamikiwa na hata na chama tawala chenyewe!!

Mabaraza yanavunjwa kwa kashifa,waziri mkuu yupo,anapinga matumizi ya mashangingi wakati waziri Mkuu nae ana mashangingi,analia bungeni,Mara uwaziri Mkuu ni msalaba,mara siwezi kufanya maamuzi kwani raisi hayupo(sakata la Jairo),huyu ni waziri Mkuu au secretary??!!

Pinda utasemwa bungeni na kupigiwa kura mara ngapi za kutishiwa kufukuzwa uwaziri ili uone una pwaya na kudharaulika?? Hadi wakina Machali??!! Kweli Pinda ni waziri Mkuu wa kwanza mwenye MIZENGWE ILIYOPINDA HASWAA!!!

Merry Christmas & happy New mtoto wa Mkulima mjomba wa mafisadi!!
 
pinda amepinda alisema zanzibar si nchi., akaanzisha migogoro ni vyema aachie ngazi kama mwenzake Nchimbi alivyowaita Wazanzibari magaidi sasa yeye ndo amekuwa gaidi.,
 
Huyu Pinda kama ni msafi na mpenda uchapa kazi alipaswa kujiuzulu miaka mitatu iliyopita kama kukaa mbali na utawala ambao unalalamikiwa na hata na chama tawala chenyewe!!

Mabaraza yanavunjwa kwa kashifa,waziri mkuu yupo,anapinga matumizi ya mashangingi wakati waziri Mkuu nae ana mashangingi,analia bungeni,Mara uwaziri Mkuu ni msalaba,mara siwezi kufanya maamuzi kwani raisi hayupo(sakata la Jairo),huyu ni waziri Mkuu au secretary??!!

Pinda utasemwa bungeni na kupigiwa kura mara ngapi za kutishiwa kufukuzwa uwaziri ili uone una pwaya na kudharaulika?? Hadi wakina Machali??!! Kweli Pinda ni waziri Mkuu wa kwanza mwenye MIZENGWE ILIYOPINDA HASWAA!!!

Merry Christmas & happy New mtoto wa Mkulima mjomba wa mafisadi!!

mkuu hii ulipaswa uielte kama thread ili tuichangie kwa wasaa zaidi.,
 
Alishasema Uwaziri Mkuu ni mzigo, basi hautue tumtishe mwingine anayeweza beba, kwani huko mbele mzigo waweza kuwa wa misumari zaidi
 
Alisema uwaziri.mkuu ni mzigo,sasa nani amtue?ndio maana amekwenda nyumbani kwa wazazi wake labda wazazi wake watamsaidia kumtua,wakishindwa basi aubebe mpaka imuangushe,kwani mzigo huo anaoangaika nao,aliubeba mwenyewe au alibebeshwa?basi atafakari mwenyewe? atautuaje.
 
Kujuuzulu kwa waziri mkuu ni jambo zito tena la kiusalama na uthabiti wa nchi.. ni lazima ashauriane na rais kwanza. rais atapima kama kuna kosa la moja kwa moja la WM na impact ya kuacha aendelee au ajiuzulu. saa watu wanaibuka kama walikuwa usingizini na kusema ajuuzulu bila hata ya kufikiri na kutafiti kiundani implication yake. pia ikumbukwe kuwa tayari katika awamu ya JK kuna waziri mkuu keshajiuzulu na sasa mwingine unadhani hii ni ishara gani kwa nchi na katika medani ya mataifa. hili ni suala la kujadili kiundani na si la kishabiki hata!
 
Kwa nini usijiuzulu tu tujue moja??viongozi wa kiafrika mbona mnapenda sana kun'gang'ania madaraka??kwanini usitoke hapo madarakani ukabaki kuheshimiwa??huoni kuwa wewe pinda ndio chanzo cha mambo yote yaliyotokea bungeni?????????Nenda mwalimu
 
Alisema uwaziri.mkuu ni mzigo,sasa nani amtue?ndio maana amekwenda nyumbani kwa wazazi wake labda wazazi wake watamsaidia kumtua,wakishindwa basi aubebe mpaka imuangushe,kwani mzigo huo anaoangaika nao,aliubeba mwenyewe au alibebeshwa?basi atafakari mwenyewe? atautuaje.
Mkuu, madaraka ni kma mtego. ukishakuwa nayo na ikatokea kuwa umechoka utakabiliwa na hali kuu mbili au tatu:
  1. hutapenda kuondolewa kwa kuwa utaogopa aibu ya kushidwa
  2. utaogopa kujiuzulu kama yule aliyekupa madaraka hapendelei hilo kwa hiyo utamwonea aibu au huruma.
  3. kama huna makosa ya kimsingi utakuwa katika hali ngumu sana na utamkasirikia kila anayekushutumu

    kwa hiyo nimwonavyo Pinda ameona abwage yaliyo moyoni Come what may. rais akiamua sawa wabunge wakiamua sawa anasubiri tu muda ufike
 
Mwambieni Slaa na Mbowe wajiuzuru kwanza ndio pinda afuate wajinga nyie
sasa MJINGA ni nani mkuu? Pinda alieshindwa kumudu nafasasi aliyopewa au kina Nchimbi na Nahodha waliokwenda kuua na kubaka wananchi wetu kwa kisingizio cha operesheni TOKOMEZA? Tafakari chukua hatua!
 
Ni kweli wengi wetu tunashauri Pinda ajiuzulu,lkn pia tunashindwa kutafakari gharama za yeye kuachia hayo madaraka.....kama alivyosema mchangiaji mmoja kuwa tayari Serikali hii ina waziri Mkuu mstaafu sada ikitokea na Pinda naye anaachia hiyo nafasi basi ni aibu kwa hii Serikali,binafsi nadhani Pinda anataka kweli kuachia hayo madaraka kutokana na vigingi anavyokutana navyo anapotaka kufanya kazi yake,lkn kuachia madaraka ya uwaziri Mkuu si jambo dogo na rahisi hasa kama Mh Rais hayupo tayari kukubali hilo jambo.
Pinda amekuwa akiongea kiutu uzima akionyesha kutoridhishwa na wateule wa Rais,lkn afanye nini? tukumbukeni ishu ya Jairo,Pinda alitamani sana kumuondoa yule jamaa madarakani lkn akaishia kulalama tu maana anajua ni mteule wa Rais,sasa hata hili la operation tokomeza majangili naamini angetanani kuwatoa kina Said Mwema na wenzake waliokuwa wanasimamia hiyo zoezi,lkn angeanzia wapi......ni mpk Rais apende......Pamoja na udhaifu wa Pinda lkn udhaifu na uswahiba wa aliye juu na wateule wake unatesa sana,Pinda hataondoka kuficha aibu ya JK,udhaifu Pinda ndio umaarufu wa JK.
 
Kakobe njaa inamsumbua

Huyu Kakobe naye!

Wakuu, msifanye haraka kucomment juu ya Kakobe bila kufahamu kwa undani juu ya salaam zake za Christmas alizozitoa. Kakobe ni kitu kingine, mahubiri yake aliyoyatoa kwa takriban saa mbili nzima, yanatisha, ni mazito mno kiasi ya kwamba kalamu na wino havitoshi kuyaandika. Ebu pata mwenyewe wasaa wakusikia hapa unedited full version ya mahubiri yake ya Christmas, ndio utajua kwamba Kakobe SIO NJAA!

 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: SMU
Muungwana Erythrocyte.... tatizo sio Waziri Mkuu...tatizo ni mfumo SERIKALINI....uliodumu kwa zaidi ya miaka 50.

W/mkuu hana ubavu wa kuuvunja ikiwa RAIS anaukumbatia. Mf. Operesheni umesimamiwa na Ofisi ya Mkuu wa Majeshi ambaye ni Swahiba wa Rais...kila kitu kilikuwa kinajulikana ndani ya Ofis ya Rais.... Rais hawezi kumkemea kwa sababu wemeteuana Kindugu na Ki-kazi zaidi.

W/Mkuu anatamani kuwashikisha adabu Watumishi wengi...lakini Rais anakataa.

Ni kweli W/Mkuu ni dhaifu...lakini MFUMO Serikalini uliodumu kwa miaka 50 umechangia sana.

Kiungwana tu...W/Mkuu angeachia ngazi siku ile bungeni....lakini HAWEZI kwa kuwa RAIS yuko USA. Anamwachia nani Serikali wakati Mkuu wa Nchi HAYUPO.

Suluhisho ni Rais SHUJAA na mwenye busara ili kuvunja MFUMO na kutomonea haya Mtendaji yoyote akivuruga.

Ni mtazamo wangu.
Dr Slaa alipotuhumiwa kula ruzuku kwa "kujikopesha" alijiuzuru wajamani?
Tena hiyo ilikuwa 1st degree crime na si third party responsibility ya kuwajibika.
Hebu tupatieni udadavuzi hapo!
 
Back
Top Bottom