Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,196
Inawezekana kabisa yeye asiwe fisadi, hilo ndio tunategemea kutoka kwake. Lakini ingekuwa ni jambo la busara sana kama angeapa kuwakamata mafisadi wote na kung'oa mzizi wa fitina!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa kiranja (MKPP)mwenyewe kakataa kupiga kelele tuamini darasa zima halitapiga kelele, atakaye piga kelele anaandikwa jina Mwalimu (JMK)akija viboko.asipokula Yeye Kuna Malowassa Wengi Tu Wamebaki Serikalinikwa Hiyo Atabaki Na Maisha Yake Uku Watu Wanakula Pesa Swala Wajisafishe Toka Chini,,ufisadi Uko Kuanzia Kata
gday
Anakula ARVHakula kweli.