Mtu hunena yale yaujazayo moyo wake. Amekiri kuwa yeye si mcha mungu na ndiyo maana hajali watu wanapokufa kwa umaskini na mgomo wa madaktari. kuna tofauti kati ya mcha mungu na muumini wa kawaida.Wana jamii, Jana Mh Pinda alipokuwa anajibu hoja ya Mh Mlata alianza kwa kusema kuwa "Mimi sio mcha Mungu, isipokuwa ni muumini wa kawaida tu". Hivi kauli kama hii ina maana gani?
Wana jamii,
Jana Mh Pinda alipokuwa anajibu hoja ya Mh Mlata alianza kwa kusema kuwa "Mimi sio mcha Mungu, isipokuwa ni muumini wa kawaida tu". Hivi kauli kama hii ina maana gani?
Wana jamii,
Jana Mh Pinda alipokuwa anajibu hoja ya Mh Mlata alianza kwa kusema kuwa "Mimi sio mcha Mungu, isipokuwa ni muumini wa kawaida tu". Hivi kauli kama hii ina maana gani?
Mzee Muongo sana huyu, tena ni mnafiki na mzandiki, nani amemuambia kuna daraja wa waumini wa kawaida? yeye akiri kwamba ni MUOVU na ni mtu wa shirki.hapo roho ya uzinzi ndio imemsukuma kusema hivyo
Kuna kamsemo kanasema "USIHUKUMU KABLA HUJAHUKUMIWA" utakuwa umekasahau au?