Nimeona na kusikia kwenye taarifa ya itv waziri mkuu akisema mawaziri wanaotangaza kupeleka maendeleo kwa upendeleo wa ki-itikadi za kisiasa ni unfortunate. Alikuwa akijibu swali la mbowe kwenye maswali ya papo kwa papo.
My take, swali hilo hakutegemea. Ndiyo maana amelijibu bila kujiandaa. Ameshindwa kupiga siasa ndiyo maana amekiri kiaina kuwa serikali ilikosea. Lakini, kwa kweli walikuwa wanajua wanachokifanya. Hatujawahisikia serikali ikikanusha kauli hizo.
Aidha, kwa nini watanzania wasihoji kauli za ccm kujinadi kuwa ndiyo yenye serikali. Hivi hawajui kuwa serikali ni ya wananchi? Siku moja ukweli utajulikana tu. Leo pinda ametupeleka hatua moja mbele.
My take, swali hilo hakutegemea. Ndiyo maana amelijibu bila kujiandaa. Ameshindwa kupiga siasa ndiyo maana amekiri kiaina kuwa serikali ilikosea. Lakini, kwa kweli walikuwa wanajua wanachokifanya. Hatujawahisikia serikali ikikanusha kauli hizo.
Aidha, kwa nini watanzania wasihoji kauli za ccm kujinadi kuwa ndiyo yenye serikali. Hivi hawajui kuwa serikali ni ya wananchi? Siku moja ukweli utajulikana tu. Leo pinda ametupeleka hatua moja mbele.