Waziri mkuu pinda leo ifikapo majira ya saa sita za mchana anatarajia kuweka hadharani majina ya mawaziri saba walioamuliwa kujiuzulu kufuatia kashfa za ufisadi ambazo zinaelezwa ama kusababishwa na wao ama watendaji wao na wao kubeba dhamana hiyo.
mawaziri ambao wanatajwa kukumbwa na sakata hilo ni pamoja na Waziri wa Fedha, Mustapha Mkulo, Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Mkuchika na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Cyril Chami na naibu wake, Lazaro Nyalandu.
hata hivyo mpaka hapo jana usiku mwenyekiti wa POAC Zitto kabwe amefanikiwa kukusanya kura 75 tano zikiwa za wanachama wa CCM ambao ni Deo Philikunjombe wa Ludewa, Ally Keissy Mohamed wa Nkasi Kaskazini, Alphaxard Kange Lugola wa Jimbo la Bunda, Murtaza Ally Mangungu na mbunge mmoja wa Viti Maalumu kutoka Kanda ya Ziwa ambaye hakutaka atajwe kwa sasa.
mawaziri ambao wanatajwa kukumbwa na sakata hilo ni pamoja na Waziri wa Fedha, Mustapha Mkulo, Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Mkuchika na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Cyril Chami na naibu wake, Lazaro Nyalandu.
hata hivyo mpaka hapo jana usiku mwenyekiti wa POAC Zitto kabwe amefanikiwa kukusanya kura 75 tano zikiwa za wanachama wa CCM ambao ni Deo Philikunjombe wa Ludewa, Ally Keissy Mohamed wa Nkasi Kaskazini, Alphaxard Kange Lugola wa Jimbo la Bunda, Murtaza Ally Mangungu na mbunge mmoja wa Viti Maalumu kutoka Kanda ya Ziwa ambaye hakutaka atajwe kwa sasa.