Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, leo amekutana kwa saa kadhaa na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari. Amelonga mambo kadhaa muhimu. Je, atatikisa ama atalikoroga? Tusubiri, ndio kwanza wanatoka wako njiani
Mukulu sasa hapa habari ni ipi ? si ungesubiri utuletee liyowiva!
Kuhusu Zanzibar, ameteleza. Anasema anaungana na Nahodha (Waziri Kiongozi wa ZNZ) alivyohitimisha mjadala
-Kazungumzia DECI, amesema ni uhalifu, japo amesema kuna timu ya wataalamu wanaifanyia kazi. Ila anasema kwa sasa serikali haiwezi kuifunga.
_kazungumzia BAraza la Mitihani, naona bado Gov kuna ule ugonjwa wa kuwalea watendaji wakuu na kutaka kuhamishia matatizo kwa wadogo. Anasema wako waliokaa muda mrefu kuwa ni tatizo, wakati uzoefu ni kigezo cha ubora!!! Hilo la wafanyakazi wa zamani ndio wimbo wa Mkuu wa NECTA kutaka wale wa zamani waondolewe.
-Kazungumzia DECI, amesema ni uhalifu, japo amesema kuna timu ya wataalamu wanaifanyia kazi. Ila anasema kwa sasa serikali haiwezi kuifunga.
_kazungumzia BAraza la Mitihani, naona bado Gov kuna ule ugonjwa wa kuwalea watendaji wakuu na kutaka kuhamishia matatizo kwa wadogo. Anasema wako waliokaa muda mrefu kuwa ni tatizo, wakati uzoefu ni kigezo cha ubora!!! Hilo la wafanyakazi wa zamani ndio wimbo wa Mkuu wa NECTA kutaka wale wa zamani waondolewe.
Wewe kama mimi.Ila mi Halisi iwa namwaminia jamani si mtulie apakue vitu kasema tusubili ndo wanatoka tayari watu mnaharaka si msubili.