dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Gazeti la Uhuru limepambwa na kichwa cha habari Pinda kamzima Mbowe bungeni kwa maandishi makubwaaa.
Hivi kweli Pinda anadhani maswali mazito kwa majibu mepesi kwa matumizi mabaya ya nyazifa za mawaziri kuwahadaa wananchi kwa kidingizio cha demokrasia na kushindwa kuwawajibisha kwa kauli zao hii ni udhaifu wa uongozi na uwajibikaji wa viongozi na watumishi wake.
Utofauti wake na kina Magifuli, Nagu na Chipa.......i uko wapi wote hawa asili yao moja ni mafisadi hakuna msafi ndani ya serikali.
Kwa lugha rahisi walikuwa wanatania
Hivi kweli Pinda anadhani maswali mazito kwa majibu mepesi kwa matumizi mabaya ya nyazifa za mawaziri kuwahadaa wananchi kwa kidingizio cha demokrasia na kushindwa kuwawajibisha kwa kauli zao hii ni udhaifu wa uongozi na uwajibikaji wa viongozi na watumishi wake.
Utofauti wake na kina Magifuli, Nagu na Chipa.......i uko wapi wote hawa asili yao moja ni mafisadi hakuna msafi ndani ya serikali.
Kwa lugha rahisi walikuwa wanatania