magistergtz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 282
- 56
Pinda amekosea sana kuamuru madaktari kurejea kazini pasipo kutatua matatizo yao. Hii ni staili ya utawala wa kiimla.
Kama wewe ni mtoto wa mkulima, punguza posho zako, za mawaziri wako na wabunge hata kwa asilimia 15 mkawalipe madaktari.
Acha vitisho pinda
Kama wewe ni mtoto wa mkulima, punguza posho zako, za mawaziri wako na wabunge hata kwa asilimia 15 mkawalipe madaktari.
Acha vitisho pinda