samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Waziri mkuu Mizengo Pinda katika hoja yake ya kuliahirisha bunge leo tarehe 19/11/2011 amesema kuchaguliwa kwa dr. Dalali kafumu kuwa mbunge wa igunga ni kithibitisho kuwa CCM bado ni chama cha wakulima na wafanyakazi. Sijui ulimi ulitereza au alikuwa anamaanisha!!!