Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Kwa mujibu wa kiongozi wa upinzani rasmi bungeni Mhe. Mbowe ni kwamba Pinda amezuia kufanyika kwa chaguzi za serikali za mitaa nchini hadi hapo CCM itakapomaliza chaguzi zake ndani ya chama! Mbowe amesema huku ni kubaka demokrasia na kuzorotesha maendeleo nchini. Tayari mkoa wa mara umesimamisha chaguzi zote mkoani huko!
Aidha Mbowe amesema Pinda amesimamisha chaguzi kwa woga wa CCM kupoteza nafasi nyingi za uongozi wa serikali za mitaa kwa vyama makini vya upinzani! Mbowe alikuwa anachangia hotuba ya bajeti ya Pinda.
Tafakari!
Source: live broadicasting TBC yesterday (5.00 - 7.40pm)
Aidha Mbowe amesema Pinda amesimamisha chaguzi kwa woga wa CCM kupoteza nafasi nyingi za uongozi wa serikali za mitaa kwa vyama makini vya upinzani! Mbowe alikuwa anachangia hotuba ya bajeti ya Pinda.
Tafakari!
Source: live broadicasting TBC yesterday (5.00 - 7.40pm)