inajulikana sasa kwa maneno yako ni kwamba for the last time CCM na Pinda anayeongoza TAMISEMI hataki kutumia njia za kidiplomasia kitakacho fwata ni Mahakama ya UMMA itakayoamua soon and very soonRitz achana na siasa za majitaka CDM siku zote wako kwaajili ya kupindisha mambo.Hakuna kamati wala kamata mwendo mdundo madiwani mashujaa watapiga mzigo kama kawa kikao cha kamati kuu CDM maamuzi yake hayana tofauti na maamuzi ya vikao vya kitchen party.