kanganyoro
Senior Member
- Jun 22, 2011
- 127
- 33
Wadau, nipo kwenye uwanja wa sokoine katika uzinduzi wa mwenge, 95% ni wanafunzi, watu wazima inaelekea wamesusa!
Kuna jamaa aliingia na bendera ya cdm polisi wamemnyang'anya. Nadhani wakazi wa mbeya wanaishi na ccm kimwili rohoni cdm
Sugu hayupo, hata kama angekuwepo asingetambulishwa, waliotambulishwa ni viongozi wa ccm. Inatia huruma sana.
Kuna jamaa aliingia na bendera ya cdm polisi wamemnyang'anya. Nadhani wakazi wa mbeya wanaishi na ccm kimwili rohoni cdm
Faida ya huo mwenge ni nini?
Ni hasara kwa nchi maana pesa nyingi sana inatumika bila tija yoyote.
Upande mwingine, kama wewe ndio kiongozi wa mbio za mwenye kitaifa, utapata ulaji (allowance) nyingi sana.
Na baada ya mbio hizo kumalizika, hutakosa ka-cheo fulani kama U-DC, n.k.
kumulika majambazi
Kwani faida ya mwenge ni nini kwa dunia ya leo?
Faida ya huo mwenge ni nini?