Pinda ashindwa kupelekea madaktari wanajeshi ktk hospitali za DSM

Kusema tunamadaktari wa kutosha Jeshini ni sawa na kusema Jeshi letu lina ndege kibao za kivita zinazoweza kuruka wakati wowote.

Hii inaitwa Wishful Thinking.

Tatizo la watu kaa Pinda ni kutumiwa kama ya Ndani jeshini kuna MA na RMA kibao ambao wenyewe wanawaita Madaktari.
Jamaa kaletewa idadi kwa ununda wake wa kushindwa kudadisi hoja kadhanimadkari jeshini ni kibao huyo kaenda kuropoka kwenye vyombo ya habari.

Hivi hao madaktari wa jeshi wakitolewa huko jeshini na kuletwa Muhimbili ni nani atahudumia katika hospitali za jeshi walizoziacha bila madakitari??

Ni siasa zinazo mtuma kuropoka au ni ubabe wa kijima?

Ndivyo nami ninavyojua, hivi kweli Clinical officers wataweza kutibia Muhimbili? AMOS wa jeshini wakienda pale wataishia kuongeza namba ya Doctors lakini hawatafanya kazi za hapo, mgomo uliopitaa Balele wa Jeshini wakati huo alipeleka washikaji wa namna hiyo na waliishia kulaza wagonjwa tu (Clerical works) Naamini Doctors wakiongeza kuvuta kamba kidogo tu watashinda kama wenzao wa Kenya

...SHIKAMANENI NA MSITISHIWE NYAU
 
Hachelewi kulia huyo;ndio litakalokua suluhisho lake la mwisho؛kilaza huyo mlokole feki؛big up madaktari msiwe kama walimu mpaka kieleweke
 
katika mazungumzo kati ya waziri mkuu na balozi wa sudan hapa tanzania mnamo juzi, balozi wa sudan alikubali kuwa nchi yake iko tayari kuleta madaktari mabingwa kuja kuwafundisha madaktari wetu.....

Wasudan wanasubiri list ya waliogoma ili walete madaktari wao...
 
katika mazungumzo kati ya waziri mkuu na balozi wa sudan hapa tanzania mnamo juzi, balozi wa sudan alikubali kuwa nchi yake iko tayari kuleta madaktari mabingwa kuja kuwafundisha madaktari wetu.....

Wasudan wanasubiri list ya waliogoma ili walete madaktari wao...
Mkuu Kwelea kwelea hao madaktari wa Sudani watalipwa Tshs 500,000/=za kununulia nyanya Kariakoo?????????? Wacha mikwala bwana hizo ghalama za WASUDANI SI WAWALIPE NDUGU ZETU WA MUHUMBILI WARUDI KAZINI????????

 
Serikali yetu uwa haijali...morali ya wafanyakazi wengi wa umma imeshuka sana,na badala ya kushughulikia matokeo hebu tuanze kuwa na utamaduni wa kufatilia chanzo cha tatizo....kwa kweli huu utamaduni umepotea kwa kiasi kikubwa sana kwa watu wengi na hasa viongozi...mtu anazuia migomo na maandamano kwa mfano,bila kufikiri kwanini watu wagome,kwanini waandamane? kama kusingekuwa na udhaifu sehemu fulani hakuna ambaye angefanya hayo.

sasa madaktari wamegoma na wamepeleka madai yao,waziri mkuu,tena anayejiita mtoto wa mkulima kashindwa kuonyesha kuwa yeye ni mtoto wa mkulima,kakurupuka na hasira zake kaja na maamuzi yasiyo na uwezo wa kuwasukuma watu waliochoka na mateso.Tatizo lingine,watawala wetu hasa wa kitanzania bado wanaamini watanzania hawajachoka na mateso na ubabaishaji,na ndio maana kila siku unasikia ubadhirifu wa mali ya umma kila kona ya hii nchi,na kwa kweli watanzania tumebakia kulalamika kwenye vijewe vya kahawa,mtaani,maofisini,kwenye vikao rasmi na visivyo rasmi nk.Kwasababu hiyo Pinda alikuwa anajihamini kabisa kuwa kama ambavyo wametumia nyenzo ya vitisho ikafaulu wakajua kuwa hata hawa watanywea...kumbe uvumilivu umeanza kupotea sasa.Na kwa hakika Pinda,Mawaziri wake,na katibu wa hii wizara wanapaswa kulaumiwa kwa kushindwa kutoa suluhu ya tatazo dogo la awali ambalo ndio chanzo cha haya yote.
 
Kwani kuna ugumu gani kuwaondoa hao watu watatu
1. Waziri wa wizara husika
2.Naibu waziri wake na
3. Katibu mkuu Bi. Blandina????

Navyojua hawa wakiwekwa pembeni Madaktari wapo tayari kuzungumza na Serikali pia kurudi job kungoja madai yao kutimizwa.

Kwa kulindana hakuna anayewatimua au kuwaambia ukweli, wanabaki kuwashurutisha madokta huku vifo vya raia wa kawaida vikiongezeka.

Tufungue Macho
 
Nani anakubali watanzania wafe? Kama ni hukumu, basi huwa kuna hukumu 1st hand murder & 2nd hand murder. Hapa nadhani 1st-hand murders ni nyinyi madaktari msiowahudumia hao wagonjwa na 2nd-hand murders ni hao wengine. Wekeni ubinadamu mbele ..
.......hapo penye red, maneno yale yanawafaa wabunge maana ndiko watu wanachukulia reference/s!!!!!
 
Mi nadhani suluhisho ni kuwatimua viongozi wa wizara ya afya kwanza wakiongozwa na Blandina ndipo mgogoro huu utakapoisha maana she is the source of all the troubles we see in the MOH

Please do not look for scape goats , the problems in the country are more than what you see in the ministry of Health; the removal of those innocent civil servants will no solve the root causes of the problems which lie in poor governance!! Changing personalities will only give you a very brief respite.Mgomo wa madaktari ni symptoms of deeper malaise in the country.
 
Serikali legelege na dhaifu ya CCM huwa na maumuzi legelege na dhaifu na ndiyo mana inaua kila siku watanzania na kuwadhurumu mali zao kwa kuwafisadi maliasili zao za asili hapa Tanzania.
 
Pinda vitisho anavyompaga mkewe wake anadhani na madaktari wako hivyo? Mimi naona hali ikiendelea kuwa mbaya raia na sisi tukusanyike tuishinikize serikali yote kujiuzuru
endapo madaktari wataitaji kuwaona wananchi na kuwaeleza kilichopo mioyoni mwao bila kujali kama wamezuiwa au la ndipo itabidi (sincerely) tujitokeze kuwasikiliza na kuungana nao pia.
 
Katika thread zote zilizoelezea mgomo huu,thread hii ndio hasa imeeleza hali halisi ya mgomo huu.
Hongera sana mleta mada

Watanzania tusikubari kudanganya kwa taarifa za kupikwa,sasa wale msiojua mgomo huu vizuri ni wasaa mzuri wa kuhukumu wahusika wa mgomo huu,yaani serikali ya ccm na madaktari.
 
katika kuthibitisha ukosefu wa umakini ndani ya serikali, mchana huu mwandishi wa Clouds Redio ameripoti kuwa wagonjwa katika hospitali ya Muhimbili hawakupata huduma yeyote ikiwemo kushuhudia zaidi ya ambulance 7 zikileta wagonjwa toka hospitali mbali mbali na kulazimika kuondoka na wagonjwa wao kutokana na kukosekana kwa huduma katika hospitali hiyo. Hii inashiria kuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameshinde kutekeleza ahadi yake kupelekea madajatari toka JWTZ na JKt akama alivyoahidi jana wakati akitoa kauli za dharau dhidi ya madakatari wanaogoma.

My take: Tukumbuke kiini cha mgogoro huu ni madakatari walioko mafunzoni yaani interns katika hospitali ya Muhimbili kunyanyaswa na uongozi wa Wizara ya Afya hivyo kutakiwa Waziri Dr Haji Mponda, Katibu Blandina Nyoni na Mganga Mkuu Ngd Deo Mtasiwa kuondolewa mara moja kwa kuishawishi serikalim kuchukua hatua za kionevu dhidi ya madakatari hao waliokuw akatika mafunzo. Ni kwanini Serikali inakubali watanzania wafe katika kuwalinda wazembe watatu?

Ni imani yangu watatu hao wakiondolea hata leo madakatari walioko katika mgomo watakuwa tayari kuzungumza na serikali kuhusu madaia yao.
Mkulu wa Boma la Magogoni anaona ni sawa tuu, alale kwake watu waendelee kufa mahospitalini bila tiba ya madaktari????? Yuko kimya tuu lakini CDM ikiamua kuandamana kuwaunga mkono wagaga si atakurupuka ???????? Uungwana na busara ni muhimu wa ndugu!!!!! CDM mabango vipi ndio kazi hiyo imejileta???
 
Madakitari wakiweka msimamo serekali hii inaweza ikabadilika. Tatizo ni kuwa profession yao inaweza ikasababisha maafa makubwa. Ila Pinda kwa kweli amenishangaza hata mimi. Ndivyo tulivyo wanadamu, tunasahau tulikotoka
 
Fukuza Waziri wa Afya, Naibu Waziri wa Afya na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya.

PM awaombe radhi Madaktari kwa kuwadhalilisha.

Tuanze upya majadiliano!
 
Nionanvyo mimi serikali imekwenda Mbio kwenye suluhu ambayao sidhani ina mantiki ya kumaanisha. Sioni jinsi watatua mgogoro huu kwa vitisho. Hebu fikiri Wauguzi nao wakiamua kujiunga na Madaktari kitu ambacho ndo naona kinakuja, je watatoa wapi hao watabibu wa kujaza hili pengo. Pia Pinda aliona shida gani kuvuta subira kwa siku moja na kupata mrejesho wa madaktari,Je angesubiri siku moja asingekuwa PM. Wakati mwingine sidhani ni Busara zinatumika. Mimi nafikiri pasitafutwe mshindi Wabunge waingilie kati kama hoja ya dharura mgogoro huu ujadiliwe uundiwe kamati ndogo ya kusuluhisha. Kutinishiana misuli nina uhakika tutakao umia ni sisi akina yakhe.
 
Fukudhaaaaaaaaaaaaaaa madaktari wote at the expense of Tzanias life!
Hii naifananisha na kauli ya malkia fulani watu wanagoma bei ya mkate imepanda yeye anawaambia subordinates wake give them cakes.
Sasa keki na mkate kipi expensive?
PM dig deep kujua kiini cha tatizo sio kusema tutawafukuza kazi,uko ni kudharau profession za watu!
 
Sra mbaya kama nini sijui؛؛؛؛؛؛hovyo kabisa lile zee؛‎
 
Serikali ya CCM ipo radhi kulinda jambazi mmoja,lakini si watanzania mil.45......
 
fukuza waziri wa afya, naibu waziri wa afya na katibu mkuu wa wizara ya afya.

Pm awaombe radhi madaktari kwa kuwadhalilisha.

Tuanze upya majadiliano!

sijui kwanini anakomplicate issues......dhana ya kulindana anayo pia...
 
Back
Top Bottom