nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
Who is to blame? SIO WAISLAMU ni Serikali ya CCM kutoondoa Dosari za SENSA kwa Wananchi ambao ni WAISLAMU
CCM na Serikali yake VIONGOZI walilala... kutegemea VITISHO na last min fight will help them... POOR CCM
Watavuna walichopanda...
Hawa jamaa ni kuwafungulia mashtaka haraka sana; ya uhujumu uchumi, ubadhirifu wa mali ya umma na uzembe.
na Sitta Tumma, Kwimba
SIKU chache baada ya kwisha kwa sensa ya watu na makazi, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametilia shaka takwimu zilizopatikana na kusema huenda mipango ya serikali ikafeli kwa kukosekana kwa takwimu sahihi za idadi ya Watanzania.
Ili serikali itekeleze vema mikakati yake ya kimaendeleo, lazima takwimu sahihi za sensa ziwepo. Hofu yangu ni pale takwimu hizi zisipokuwa nzuri, maana yake serikali itakuwa na mtihani mgumu kupeleka kwa haraka maendeleo kwa wananchi, alisema.
huyu mzee ni mzigo sana kwa taifa hili..
Masikini Pinda, je alijisikiaje Mwandishi Daud Mwangosi alipolipuliwa na polisi? Alikasirika, alisikitika au vipi?Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu alisema inamkasirisha sana kusikia albino ameuawa ama amejeruhiwa kwa imani za kishirikina na aliagiza vyombo vyote vya ulinzi mkoani hapa kuhakikisha vinawakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya dola watuhumiwa wote wa mauaji hayo.