mrelbattawy
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 564
- 112
Ni baada ya kumalizika shughuli za Jaji warioba kumkabidhi rasimu Mh. Rais Jk kikwete na viongozi wengine baada ya hapo Waziri Mkuu Pinda alionyesha Vidole viwili vya mkono kumuonyesha Maalim Seif akimaanisha serikali 2 na Maalim Seif akaonyesha vidole 3 akimaanisha Serikali 3.,
Kwenu wakuu.,
Kwenu wakuu.,