Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Ziara anazofanya JK katika wizara za serikali ni dalili ya kutojiamini kwa PM wake, kama angekuwa na msisimamo thabiti Waziri Mkuu Pinda angeweza kuwaita mawaziri ofisini kwake na kuwapa maelekezo stahili kwa lengo la kuboresha utendaji wao. Wake-up Pinda!