Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,314
- 10,775
http://www.dft.gov.uk/gcda/cars/default.php
"Ministers are permitted to use an official car for official business and for home to office journeys within a reasonable distance of London on the understanding that they would normally be carrying classified papers on which they would be working. Where practicable, Ministers are encouraged to use public transport."
Sasa ndugu Pinda, nini kinakufanya hushindwe kuwaagiza mawaziri wako wazingatie haya??
Hivi mkienda kuzurura Ulaya uwa hata mjifunzi wenzenu wanavyofanya??
Kama waziri toka nchi ambayo inakupa msaada anashauriwa kupanda usafiri wa umma au atumie gari za serikali kwa kuzikodisha, kwanini waziri toka kwa nchi unayosema masikini hasifanye hivyo???
Ndugu Pinda, hivi wewe ni waziri mkuu au waziri mkuu kivuli???
"Ministers are permitted to use an official car for official business and for home to office journeys within a reasonable distance of London on the understanding that they would normally be carrying classified papers on which they would be working. Where practicable, Ministers are encouraged to use public transport."
Sasa ndugu Pinda, nini kinakufanya hushindwe kuwaagiza mawaziri wako wazingatie haya??
Hivi mkienda kuzurura Ulaya uwa hata mjifunzi wenzenu wanavyofanya??
Kama waziri toka nchi ambayo inakupa msaada anashauriwa kupanda usafiri wa umma au atumie gari za serikali kwa kuzikodisha, kwanini waziri toka kwa nchi unayosema masikini hasifanye hivyo???
Ndugu Pinda, hivi wewe ni waziri mkuu au waziri mkuu kivuli???