Pinda Aliukataa Uwaziri Mkuu

popiexo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
742
182
Waziri mkuu Mizengo Pinda aliukataa uwaziri Mkuu na ikalazimika JK atume watu wakamshawishi na kupelekea jina lake kushindwa kupelekwa bungeni asubuhi kwa ajili ya kupitishwa, Katika kumshawishi aikubali tena nafasi hiyo JK alimwambia Mtoto wa Mkulima kwamba sabau miaka mitano iliyoisha hatujafanya viziri ndio maana unanitosa? Pinda alikubali kuendelea kwa sharti la kuwa na equal say katika kuunda baraza la mawaziri na hii ndiyo inayopelekea baraza kuchelewa kutangazwa.

Source; system
 
mbona unaficha ficha,sema tu kuwa Pinda kayanza hataki kuwa baraza moja na wezi.BASI
 
huu ni UHUNI, absolutely UHUNI!
nani kakwambia mtoto wa mkulima kakengeuka? system? system gani ambayo inaweza kukupa data mfu!
ugly, thanks
 
waziri mkuu mizengo pinda aliukataa uwaziri mkuu na ikalazimika jk atume watu wakamshawishi na kupelekea jina lake kushindwa kupelekwa bungeni asubuhi kwa ajili ya kupitishwa, katika kumshawishi aikubali tena nafasi hiyo jk alimwambia mtoto wa mkulima kwamba sabau miaka mitano iliyoisha hatujafanya viziri ndio maana unanitosa? Pinda alikubali kuendelea kwa sharti la kuwa na equal say katika kuunda baraza la mawaziri na hii ndiyo inayopelekea baraza kuchelewa kutangazwa.

Source; system

si kweli mtoto wa mkulima ana njaa kali na kuna mradi wake kule gongo la mboto haujakamilika hawezi kataa hela
 
Sala yangu kwa Mwenyezi Mungu ni kwamba Mhe. Pinda ataweza ku-persuade J.K. kutowashirikisha wezi ktk Cabinet yake mpya.

Hata hivyo Chadema kitaendelea na mikakati na misisitizo yake ya kutaka Mabadiliko ya kweli. Hakuna kulala vijana, mpaka Kieleweke.
 
Waziri mkuu Mizengo Pinda aliukataa uwaziri Mkuu na ikalazimika JK atume watu wakamshawishi na kupelekea jina lake kushindwa kupelekwa bungeni asubuhi kwa ajili ya kupitishwa, Katika kumshawishi aikubali tena nafasi hiyo JK alimwambia Mtoto wa Mkulima kwamba sabau miaka mitano iliyoisha hatujafanya viziri ndio maana unanitosa? Pinda alikubali kuendelea kwa sharti la kuwa na equal say katika kuunda baraza la mawaziri na hii ndiyo inayopelekea baraza kuchelewa kutangazwa.

Source; system

Topic haina manufaa sana kwa sababu Pinda ameshaapishwa na ndiye PM anayeongoza Bunge la 10
 
Waziri mkuu Mizengo Pinda aliukataa uwaziri Mkuu na ikalazimika JK atume watu wakamshawishi na kupelekea jina lake kushindwa kupelekwa bungeni asubuhi kwa ajili ya kupitishwa, Katika kumshawishi aikubali tena nafasi hiyo JK alimwambia Mtoto wa Mkulima kwamba sabau miaka mitano iliyoisha hatujafanya viziri ndio maana unanitosa? Pinda alikubali kuendelea kwa sharti la kuwa na equal say katika kuunda baraza la mawaziri na hii ndiyo inayopelekea baraza kuchelewa kutangazwa.

Source; system

Ndugu wana JF wenzangu, hebu wakati mwingine tufanyie taarifa hizi tafiti kabla ya kuziweka humu ndani. Hii inatupotezea maana nzima ya globu yetu ya JF ya 'GREAT THINKERS'. Kwa kweli mie inaniumiza sana kuona tunapoteza mwelekeo wetu wa kuelimisha jamii ya Watanzania. Na tujitofautishe na Globu zingine kwani wana JF tunasifika kwa kutoa hoja zilizo kwenda shule, hebu tujirekebisheni basi wakuu wenzangu.
 
unajua mtoto wa mkulima hana kauli kule

uwaziri mkuu wake ni kama pambo tu wenye kauli na maamuzi wengine
 
mwee PINDA akatae uwaziri mkuu!! labda awe karudi yesu..nani kakuambia anaweza kuukataa uwaziri mkuu..Hukumbuki alipotoa kauli za hovyo juu ya kuuwa albino alivotaitiwa ajiuzuru alimwaga chozi..hakuna mtu wa kukataa U PM pale...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom