Wakati Operesheni Kimbunga, Mikutano ya Kampeni za Kata 26, na Tokomeza zikiendelea na Wananchi kuanza kulalamika pamoja na Wanaharakati Pinda akiwa ndani ya Bunge mbele ya Wabunge wote alitoa maneno ya dharau na kutokuthamini uhai na utu wa Mtanzania na kesi iko Mahakamani.
Pinda huyu huyu alisema Liwalo na Liwe kuhusu Dr. Ulimboka na aliteswa usiku wake kiasi cha kutaka kuuawa ila Mungu akamuokoa. Nchimbi na Kova wakatuletea Joshua Mulundi Mkenya na kesi imeisha kienyeji enyeji tu.
Pinda huyu huyu wakati wa Bomu la Soweto hakuonyesha kujali zaidi ya kuendelea na kikao cha Bunge kama kawaida na mwisho wake jeshi lilikuja kuharibu mali za vijana pale arusha pamoja na kuwaweka rumande wabunge wa Upinzani.
Kwanini Pinda hajajiuzulu?? Anafikiri tumesahau?? Damu hizo zitaendelea kuililia Serikali yake na hataongoza kwa amani ang'oke na yeye asijifanye anataka huruma za Watanzania asiowajali hata kidogo. Utawala wa Damu kama lilivyosema gazeti la Mtanzania na likafungiwa
Pinda huyu huyu alisema Liwalo na Liwe kuhusu Dr. Ulimboka na aliteswa usiku wake kiasi cha kutaka kuuawa ila Mungu akamuokoa. Nchimbi na Kova wakatuletea Joshua Mulundi Mkenya na kesi imeisha kienyeji enyeji tu.
Pinda huyu huyu wakati wa Bomu la Soweto hakuonyesha kujali zaidi ya kuendelea na kikao cha Bunge kama kawaida na mwisho wake jeshi lilikuja kuharibu mali za vijana pale arusha pamoja na kuwaweka rumande wabunge wa Upinzani.
Kwanini Pinda hajajiuzulu?? Anafikiri tumesahau?? Damu hizo zitaendelea kuililia Serikali yake na hataongoza kwa amani ang'oke na yeye asijifanye anataka huruma za Watanzania asiowajali hata kidogo. Utawala wa Damu kama lilivyosema gazeti la Mtanzania na likafungiwa