misoza Gete
Member
- Sep 28, 2012
- 57
- 20
Wakuu jana nimeona kwenye tv watu wamevunjiwa nyumba maeneo fulani dodoma,tatizo ni nini?najua inasadikiwa wamevamia maeneo,lakini je cda imefanya nini toka 1973 ilipoundwa?ukifika hapo dodoma ndani ya km 10 tu ni mapori,hivi tukiivunja mamlaka kuna shida?pinda nadhani june au july alipiga mkwala kuwa 70% ya watumishi wa pale hawana sifa ya kuwa hapo,amechukua hatua gani mpaka sasa?duuu babu wa kigogo kalia sana jana tbc hadi aibu nyumba imevunjwa !hebu nipeni mwongozo tuwafanyaje hawa jamaa japo tupime hata eneo la km 40 ifikapo 2015?wanakomaa kuuza viwanja vya rushwa tu katikati ya mji nasikia!mikono inatetemeka kuandika nina hasira sana,nakomea hapo!