Pinda akubali kujiuzulu jioni hii

Status
Not open for further replies.
Mimi nimesikia pia Tibaijuka, Muhongo na Beno Nduru wataachia ngazi hivi punde sasa najiuliza CCM ndo munataka kucheza kalata ipi kwa kuwatoa kafara hao? sisi tunataka waende Mahakamani wafilisiwe hapo ndipo tutaona aki imetendeka, lasivyo hata hao watateuliwa na Mkulungwa wataiba tu.
 
Awamu hii hatuitaji kujiudhuru pekee ni lazima na hatua za kisheria zichukuliwe ikishindikana wananchi tuhamsishane ili tuwahukumu hawa wezi na ikiwezekana WAPIGWE TU.

Hawa inabidi WANYONGWE tu:hatari:
 
kujihudhuru sio mpaka atake hata asipotaka tutamhudhurisha mshenzi huyu! Hatuwezi kumpa mwizi ajichagulie adhabu huu utakuwa wendawazimu! Kwanza hapaswi kufunua domo lake kuongea, yeye fact ziongee!!

NA AKIKATAA KUJIHUDHURU ATAPIGWA TU, NA MIMI NASEMA APIGWE TU.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom